Jamani mimi nina tatizo moja sielewi ni nini yaani mdada mmoja awe rafiki yangu au demu wangu akiniomba hela basi ujue siku hio akina dada watano au hata watatu wataniomba hela na siku inayo fuata au rafiki yangu wa kiume mmoja akiniomba tu ujue siku hyo wengine wa nne wataniomba na hela sio ndogo sasa mimi sina kazi wala nini nipo kwa baba na mama najiuliza huu ni mkosi au bahati na siku zote ipo hivyo na kila mmoja anasema ana tatizo na ukiangalia tatizo unaona kweli ni kubwa linahitaji msaada sasa kwann wengi waniombe siku moja?
Asipo niomba yeyote yule basi ujue siombwi wala sikii matatizo sasa sielewi naombeni ushauri nifanyaje