Huu ni mkosi au nyota?

Huu ni mkosi au nyota?

Sijakuelewa, huna kazi na uko kwa baba na mama, rafiki zako/demu wako wanaelewa hilo? lakini wanakuomba hela, unawapa? kama unawapa unazitoa wapi? na kama huwapi mbona wanarudi tena kukuomba?

Ndo na ww ujiulize hapo kma mm nifanyavyo
 
Naombwa aiseee so natoa sipokeiii

Naona hujajielewa uko kwenu hizo.hela unatoa wapi za kuwapa wote hao!??


Mkuu Tyta au MO11 hebu tupeni kwanza data za huyu naona.simuelew
 
Last edited by a moderator:
We mwenyewe unakula ugali wa shkamoo afu watu wanakuomba hela znawatosha kweli hao...
 
Naona hujajielewa uko kwenu hizo.hela unatoa wapi za kuwapa wote hao!??


Mkuu Tyta au MO11 hebu tupeni kwanza data za huyu naona.simuelew

Nimekwambia marafiki zangu means,wa umri wangu swala la mimi hela natoa wapi ni out of tatizo nililo nalo so ukiuliza hvyo unakuwa hujanisaidia.....kupata data zangu ni ngumu
 
Last edited by a moderator:
Mfano huu mm nataka kujua nifanye nn
 

Attachments

  • 1416487627289.jpg
    1416487627289.jpg
    42.7 KB · Views: 72
  • 1416487638786.jpg
    1416487638786.jpg
    42 KB · Views: 91
Back
Top Bottom