Huu ni mkosi au nyota?

Huu ni mkosi au nyota?

Mfano huu mm nataka kujua nifanye nn

Wewe kwenu mambo swafiiiii embu tugawie hiyo mihela haiwezekani kila mmoja akuombe,na mm nataka(joking)

Sasa dogo kama wewe ni mtu wa show off acha hiyo tabia,hifadhi hela unayopewa na wazazi utashangaa jinsi itakavyokuwa kubwa,kama huna akaunti kafungue kabisa,mtu akikuomba kama unayo na ziada mpe kama hauna wala usijisumbue kwa lugha nyepesi mwambie mambo tight na usijiskie vibaya na wala usihangaike ukawaibia wazazi bure.
 
Wewe kwenu mambo swafiiiii embu tugawie hiyo mihela haiwezekani kila mmoja akuombe,na mm nataka(joking)

Sasa dogo kama wewe ni mtu wa show off acha hiyo tabia,hifadhi hela unayopewa na wazazi utashangaa jinsi itakavyokuwa kubwa,kama huna akaunti kafungue kabisa,mtu akikuomba kama unayo na ziada mpe kama hauna wala usijisumbue kwa lugha nyepesi mwambie mambo tight na usijiskie vibaya na wala usihangaike ukawaibia wazazi bure.

Daaaaaa......100% umeandika point thankx sanaaaa nitafuata ushaurii wako sanaaa nashukuru sanaaa
 
Sijasoma komenti zote. Hao wanaokuomba hela hawajui kuwa wewe ni kula kula? Kama wanajua basi jibu ni moja tu "nitakupa kesho" kila siku jibu lako liwe hilo hilo.
 
Back
Top Bottom