kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
missing you sana Lazymate.......siku hizi umenunua vogue nini
sikuoni na ile baskeli yetu
ka baskeli kameharibika...sasa hv full kuchapa miguu..
missing you sana Lazymate.......siku hizi umenunua vogue nini
sikuoni na ile baskeli yetu
JosephMasaki, ni tamaa tu mkuu, wanaume haturidhiki hata upewe nini lazima utataka kuonja nje tu.
ka baskeli kameharibika...sasa hv full kuchapa miguu..
miss chagga, si unajua process ya selection lazima uwe na sample space ya kutosha, ukiwa na mmoja haitoshi kujua kama kweli upo kwenye njia sahihi, kwani wewe ukienda kununua nguo unaishia kuangalia kwenye duka moja?
Mabwaku