hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Anataka kuhamisha topic na kuipeleka kwenye udini. .Sijui huwa ana matatizo gani huyo
Acha kubadilisha maana ya neno masikini ili watu wakuonee huruma pamoja na wafuasi wenzako.
Masikini huwa haurumiwi bali hudharauliwa.