Aaah nlikuwa sijaelewa kumbe ulikanusha syo Tanzania...ila pole sanaGaborone Botswana.
mcheza show za singeli.Kijana hana tatizo lolote, ni haki yake kidemokrasia.Je anafanya kazi gani?
Yawezekana kijana ni msanii, mbona wakina platinumz nao wapo hivyo tu na hamuoni kama wameharibika kimaadiliKijana hana tatizo lolote, ni haki yake kidemokrasia.Je anafanya kazi gani?
Anasomea nini?alafu mambo ya kuingilia uhuru wa watu wazima ni udikteta.Ni mwanafunzi wa chuo kikuu
Mwanao akiwa hivyo utamuacha kwa kisingizio cha udikteta?Anasomea nini?alafu mambo ya kuingilia uhuru wa watu wazima ni udikteta.
Wanangu hawezi kuwa hivyo, wamekuzwa kwenye familia ya Rastafarian na tuna sheria zetu.
Are you serious?Ndiyo maana yake, ameyafanyia haya yote shuleni.
Ooh my God! PoleNi mwanafunzi wa chuo kikuu