JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..Je, hayo anayoyasema hapo ndiyo uhalisia wa mambo?
..Je, ni kweli Maraisi wastaafu wa Marekani huwa hawamkosoi Raisi aliyeko madarakani?
..Je, Raisi aliyeko madarakani hapaswi kukosolewa na watangulizi wake?
..Je, ni kweli kwamba vyama tawala huwa havikosolewi, isipokuwa wakati wa uchaguzi? kwamba huachwa "viboronge" au vipatie na huja kuulizwa wakati wa uchaguzi tu?
..Je, ni kweli kwamba hapa Tanzania kilichokuwa kinaendelea ni MATUSI na siyo siasa za ushindani zinazoshabihisha hoja za wananchi?
..Kama kulikuwa na MATUSI, je suluhisho lilikuwa ni kufungia mikutano ya hadhara?
..Je, ni kweli Maraisi wastaafu wa Marekani huwa hawamkosoi Raisi aliyeko madarakani?
..Je, Raisi aliyeko madarakani hapaswi kukosolewa na watangulizi wake?
..Je, ni kweli kwamba vyama tawala huwa havikosolewi, isipokuwa wakati wa uchaguzi? kwamba huachwa "viboronge" au vipatie na huja kuulizwa wakati wa uchaguzi tu?
..Je, ni kweli kwamba hapa Tanzania kilichokuwa kinaendelea ni MATUSI na siyo siasa za ushindani zinazoshabihisha hoja za wananchi?
..Kama kulikuwa na MATUSI, je suluhisho lilikuwa ni kufungia mikutano ya hadhara?