Huu ndio utapeli wa Kupatana.com

RGforever

JF-Expert Member
Apr 3, 2011
6,878
5,432
Hello wana JF,

Kuna siku bhana nimejaribu kuingia hii kupatana Dot Com. Mimi nina mtindo kama nataka kununua kitu Online huwa natest kwanza uaminifu wa wahusika. Nilikuwa nasoma tu thread za humu kwamba kumejaa matapeli kule sasa nami nikajitosa nijue huo utapeli.

Sasa bhnaa nikaona TV jamaa anauza yupo mkoa ambao naweza kupata hiyo bidhaa mapema na kuiona. Flat Screen bei aliyoweka ni laki 2 tu.Nikasema ngoja nijaribu kwa huyu ameweka namba zake ngoja nimtext kama akiwa na sound za kitapeli tu na hana ofisi ya kueleweka namtosa.

Meseji zetu zikawa

Me...flat screen zako ni mpya ? Na hiyo ya laki mbili ni aina gani? Na inch ngapi?

Jamaa...ndio laki mbili ni nchi 28 ambayo unatumiwa ulipo. Nazime baki 3 saivi wameshalipia.

Me...Ni Aina gani mkuu?

Jamaa....Nchi 28 na star x

Jamaa...Juma 3 naingia na mzigo tunaagiza Kongo ukiitaji weka oda kisha tusubiri juma3, napokelega Kigoma mizigo kutoka Kongo. Ukiitaji hiyo itakuja na Kirimanjaro bot mpaka Dar kisha Dar utaufata stend.

Jamaa....Saivi Imelipiwa moja tena zimebaki 2

Me...... Nielekeze ili nishuke baadae ofisin kwako


Jamaa.....Utakapo Kuwa tayali nijulishe .Utamkuta Mtu ofcn mimi sipo niwekuja kufata mizigo ya watu wa oda. Nasizani kama utaikuta hiyo unayo taka zilikua 20 toka asubuhi saivi imebaki moja, wakati mwema ukiwa tayal sema watakufata stend uliopo wakupeleke

Me....Ungenielekeza Ilipo ofisi ningekuja kuangalia nikiridhika na mzgo natoa pesa nakupa narudi na mzigo..

Sikujibiwa tena message...

Sasa siwezi sema jamaa ni tapeli ila kwa sound hizo kwangu ni kama tapeli.... Kwahiyo kuweni makini sana inawezekana kuna watu washaliwa pesa.Maana ukiulizia maduka ya tv hapa nilipo biashara ya tv si ya haraka kutoka kama jamaa anavyosema hapa juu mara zimebaki mbili sijui ngapi utadhani watu wananunua peremende.
 
Hello Wana JF,

Kuna Siku Bhana Nimejaribu Kuingia Hii Kupatana Dot Com . Mimi nina Mtindo kama Nataka Kununua Kitu Online Huwa Natest Kwanza Uaminifu wa Wahusika. Nilikuwa nasoma Tu Thread za Humu kwamba Kumejaa Matapeli kule . sasa nami nikajitosa Nijue huo utapeli..

Sasa Bhnaa Nikaona TV jamaa Anauza yupo mkoa ambao naweza kupata hiyo bidhaa mapema na kuiona. Flat Screen Bei aliyoweka Ni laki 2 tu.. Nikasema Ngoja Nijaribu kwa Huyu ameweka namba zake Ngoja Nimtext kama Akiwa na Sound za Kitapeli tu Na Hana Ofisi ya Kueleweka namtosa

Meseji zetu zikawa

Me...Flat Screen zako ni mpya ? Na Hiyo ya laki mbili ni Aina Gani? Na inch ngapi

Jamaa...Ndio Laki Mbili Ni Nch 28 Ambayo Unatumiwa Ulipo . Nazime Baki 3 Saivi Wameshalipia

Me...Ni Aina Gani Mkuu

Jamaa....Nchi 28 Na Star X

Jamaa...Juma 3 Naingia Namzigo Tunaagiza Kongo Ukiitaji Weka Oda Kisha Tusubili Juma3, Napokeleg Kigoma Mizigo Kutoka Kongo. Ukiitaji Hiyo Itakuja Nakirimanjaro Bot Mpaka Dar Kisha Dar Utaufata Stend

Jamaa....Saivi Imelipiwa Moja Tena ZImebaki 2

Me...... Nielekeze Ili Nishuke baadae Ofisin kwako

Jamaa.....Utakapo Kuwa Tayali Nijulishe .Utamkuta Mtu Ofcn Mimi Sipo Niwekuja Kufata Mizigo Ya Watu Wa Oda . Nasizani Kama Utaikuta Hiyo Unayo Taka Zilikua 20 Toka Asubuhi Saivi Imebaki Moja, Wakati Mwema Ukiwa Tayal Sema Watakufata Stend Uliopo Wakupeleke

Me....Ungenielekeza ilipo Ofisi ningekuja Kuangalia nikiridhika na Mzgo natoa Pesa nakupa narudi na Mzigo..

SIKUJIBIWA TENA MESSAGE...

Sasa siwez sema Jamaa ni Tapeli ila Kwa Sound Hizo kwangu ni kama Tapeli.... Kwahiyo Kuweni Makini sanaaaa inawezekana kuna watu washaliwa Pesa.. Maana Ukiulizia Maduka Ya Tv Hapa nilipo biashara ya TV si ya Haraka Kutoka kama Jamaa anavyosema hapi Juu mara Zimebaki mbili sijui ngapi utadhan watu wananunua Peremende
Haha kilimanjaro boat toka kigoma adi dar inapitia bahar gan?
 
Binafsi nina experience nzuri na kupatana. Nishanunua item mbili toka kwao. Moja ilikuwa ni laptop, ilikuwa bei nzuri na ni nzuri sana mpaka sasa ndo naitumia. Pili nikanunua simu ya smartphone. Nokia lumia pia ilikuwa nzuri na mpaka sasa ninayo.
 
Binafsi nina experience nzuri na kupatana. Nishanunua item mbili toka kwao. Moja ilikuwa ni laptop, ilikuwa bei nzuri na ni nzuri sana mpaka sasa ndo naitumia. Pili nikanunua simu ya smartphone. Nokia lumia pia ilikuwa nzuri na mpaka sasa ninayo.
we ni wakala wao nini?
 
we ni wakala wao nini?

Kuwa na heshima na adabu, Hivi unajua namna ambavyo mtandao wa kupatana wanafanya kazi au unakurupuka tuu kucomment vitu ambavyo huna ufahamu navyo.?

kwa taarifa yako siyo kupatana tuu, mimi ni mteja mzuri sana wa online markets kuanzia ebay mpaka alibaba. kiufupi katika mitandao ya manunuzi kutapeliwa utake mwenyewe. Hata hao kupatana kama jinsi mtoa mada alivyotoa, ushaona muuzaji anabehave hivyo utakuwa ni ufala na uzoba ikiwa utatapeliwa kinamna hiyo.

Hiyo alibaba yenyewe watu wanalalamika kutapeliwa kila uchwao, lakini haiondoi uhalisia kuwa wapo watu wengi tuu wanaofanikiwa kununua bidhaa huko. mimi nikiwa mmoja wapo na ndiyo iliyomuingiza Jack Ma katika ulimwengu wa mabilionea wa dunia.
 
Binafsi nina experience nzuri na kupatana. Nishanunua item mbili toka kwao. Moja ilikuwa ni laptop, ilikuwa bei nzuri na ni nzuri sana mpaka sasa ndo naitumia. Pili nikanunua simu ya smartphone. Nokia lumia pia ilikuwa nzuri na mpaka sasa ninayo.
Ni kweli kabisa mkuu. Ndio maana kule mwisho kabisa wameweka tahadhari. Epuka kulipa mapema. Kupatana ni sehemu nanunua simu zangu kwa bei rahisi
 
Binafsi nina experience nzuri na kupatana. Nishanunua item mbili toka kwao. Moja ilikuwa ni laptop, ilikuwa bei nzuri na ni nzuri sana mpaka sasa ndo naitumia. Pili nikanunua simu ya smartphone. Nokia lumia pia ilikuwa nzuri na mpaka sasa ninayo.
Yaaah si kwamba Wote ni matapeli ila Kupatana Imejaa matapeli kuliko Walio na Lengo Jema
 
Huwezi kufikia hitimisho hilo kwa tukio mmoja tu, mimi nilimnunulia rafiki yangu gari kupitia kupatana na kila kitu kilienda vizuri.Wanafanya vizuri sana, ukitapeliwa huo ni uzembe wako.
 
Back
Top Bottom