RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,432
Hello wana JF,
Kuna siku bhana nimejaribu kuingia hii kupatana Dot Com. Mimi nina mtindo kama nataka kununua kitu Online huwa natest kwanza uaminifu wa wahusika. Nilikuwa nasoma tu thread za humu kwamba kumejaa matapeli kule sasa nami nikajitosa nijue huo utapeli.
Sasa bhnaa nikaona TV jamaa anauza yupo mkoa ambao naweza kupata hiyo bidhaa mapema na kuiona. Flat Screen bei aliyoweka ni laki 2 tu.Nikasema ngoja nijaribu kwa huyu ameweka namba zake ngoja nimtext kama akiwa na sound za kitapeli tu na hana ofisi ya kueleweka namtosa.
Meseji zetu zikawa
Me...flat screen zako ni mpya ? Na hiyo ya laki mbili ni aina gani? Na inch ngapi?
Jamaa...ndio laki mbili ni nchi 28 ambayo unatumiwa ulipo. Nazime baki 3 saivi wameshalipia.
Me...Ni Aina gani mkuu?
Jamaa....Nchi 28 na star x
Jamaa...Juma 3 naingia na mzigo tunaagiza Kongo ukiitaji weka oda kisha tusubiri juma3, napokelega Kigoma mizigo kutoka Kongo. Ukiitaji hiyo itakuja na Kirimanjaro bot mpaka Dar kisha Dar utaufata stend.
Jamaa....Saivi Imelipiwa moja tena zimebaki 2
Me...... Nielekeze ili nishuke baadae ofisin kwako
Jamaa.....Utakapo Kuwa tayali nijulishe .Utamkuta Mtu ofcn mimi sipo niwekuja kufata mizigo ya watu wa oda. Nasizani kama utaikuta hiyo unayo taka zilikua 20 toka asubuhi saivi imebaki moja, wakati mwema ukiwa tayal sema watakufata stend uliopo wakupeleke
Me....Ungenielekeza Ilipo ofisi ningekuja kuangalia nikiridhika na mzgo natoa pesa nakupa narudi na mzigo..
Sikujibiwa tena message...
Sasa siwezi sema jamaa ni tapeli ila kwa sound hizo kwangu ni kama tapeli.... Kwahiyo kuweni makini sana inawezekana kuna watu washaliwa pesa.Maana ukiulizia maduka ya tv hapa nilipo biashara ya tv si ya haraka kutoka kama jamaa anavyosema hapa juu mara zimebaki mbili sijui ngapi utadhani watu wananunua peremende.
Kuna siku bhana nimejaribu kuingia hii kupatana Dot Com. Mimi nina mtindo kama nataka kununua kitu Online huwa natest kwanza uaminifu wa wahusika. Nilikuwa nasoma tu thread za humu kwamba kumejaa matapeli kule sasa nami nikajitosa nijue huo utapeli.
Sasa bhnaa nikaona TV jamaa anauza yupo mkoa ambao naweza kupata hiyo bidhaa mapema na kuiona. Flat Screen bei aliyoweka ni laki 2 tu.Nikasema ngoja nijaribu kwa huyu ameweka namba zake ngoja nimtext kama akiwa na sound za kitapeli tu na hana ofisi ya kueleweka namtosa.
Meseji zetu zikawa
Me...flat screen zako ni mpya ? Na hiyo ya laki mbili ni aina gani? Na inch ngapi?
Jamaa...ndio laki mbili ni nchi 28 ambayo unatumiwa ulipo. Nazime baki 3 saivi wameshalipia.
Me...Ni Aina gani mkuu?
Jamaa....Nchi 28 na star x
Jamaa...Juma 3 naingia na mzigo tunaagiza Kongo ukiitaji weka oda kisha tusubiri juma3, napokelega Kigoma mizigo kutoka Kongo. Ukiitaji hiyo itakuja na Kirimanjaro bot mpaka Dar kisha Dar utaufata stend.
Jamaa....Saivi Imelipiwa moja tena zimebaki 2
Me...... Nielekeze ili nishuke baadae ofisin kwako
Jamaa.....Utakapo Kuwa tayali nijulishe .Utamkuta Mtu ofcn mimi sipo niwekuja kufata mizigo ya watu wa oda. Nasizani kama utaikuta hiyo unayo taka zilikua 20 toka asubuhi saivi imebaki moja, wakati mwema ukiwa tayal sema watakufata stend uliopo wakupeleke
Me....Ungenielekeza Ilipo ofisi ningekuja kuangalia nikiridhika na mzgo natoa pesa nakupa narudi na mzigo..
Sikujibiwa tena message...
Sasa siwezi sema jamaa ni tapeli ila kwa sound hizo kwangu ni kama tapeli.... Kwahiyo kuweni makini sana inawezekana kuna watu washaliwa pesa.Maana ukiulizia maduka ya tv hapa nilipo biashara ya tv si ya haraka kutoka kama jamaa anavyosema hapa juu mara zimebaki mbili sijui ngapi utadhani watu wananunua peremende.