Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Kuna watu wanabisha humu!. Waje waangalie.
kweli nimeamini.....mama mtuzaji!
sana, mungu ambariki....
anatoka katika jamii ya kistaarabu
Wachagga ni watu waliostaarabika sana..
anatoka katika jamii ya kistaarabu
Hana tofauti na Baba wa Taifa Mwl. Nyerere.. Ni mfano bora wa kuigwa..Hivi niulize utajiri wa Mandela ukoje? Maana sijasikia ukisemwa inaonyesha jamaa alikua hana tamaa huyu kama viongozi wengine waliojilimbikizia mali wao na ukoo wao baada ya uhuru.
Kwa kweli huyu mama anastahili zawadi....wangekua wengine wangempa mchunga ng'ombe hizo buti... mi nakumbuka niliwahi kumuazima sweta rafiki yangu alikuja home akachelewa kuondoka na kulikua na baridi sasa kulirudisha akawa ananipiga kalenda, siku nimeenda kwao nikakuta wamelifanya dekio na ndio wameweka mlangoni eti la kupangusia miguu....niliumia sana japo it's more than 15 years ago nikikumbuka huwa nasikitika sana[o/QUOTE]
We jamaa una kijiba cha roho.Miaka 15 hujasahau? Na hilo dekio si limebaki nyuzi?
Issue sio limebaki kias gani lile sweta ishu ni jinsi nilivyomixiwa kukuta sweta nililomuazima limefanywa dekio tena ndani ya siku chache tu baada ya kumuazima...afterall nilishasahau ila tu utunzaji na uthamini wa huyu mama kwa viatu vya mandela ndio imenikumbusha hilo...nadhani utunzaji na uthamini wa kitu cha mtu ni tabia ya mtuKwa kweli huyu mama anastahili zawadi....wangekua wengine wangempa mchunga ng'ombe hizo buti... mi nakumbuka niliwahi kumuazima sweta rafiki yangu alikuja home akachelewa kuondoka na kulikua na baridi sasa kulirudisha akawa ananipiga kalenda, siku nimeenda kwao nikakuta wamelifanya dekio na ndio wameweka mlangoni eti la kupangusia miguu....niliumia sana japo it's more than 15 years ago nikikumbuka huwa nasikitika sana[o/QUOTE]
We jamaa una kijiba cha roho.Miaka 15 hujasahau? Na hilo dekio si limebaki nyuzi?