Lazarus
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 365
- 88
Ndugu zangu watafutaji wa ajira, site ya zoom tanzania najua inasumbua wakati mwingine kwa kubandika kazi bila kuwa na contact aina yeyote.ikiwemo mail wala phone numbers na boz zao ni uongo mtupu alafu unakuta imematch fani yako. UFALA HUU SIYO BAHATI MBAYA BALI NI MAKUSUDI ILI WAENGEZE VIEWERS KWENYE WEBSITE YAO. MUNGU AWALAANI WAFANYAO HAYA.!!
Mfano ni huu:
Mfano ni huu: