hashilulaya
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 373
- 246
Sawa ila ana mwisho
mungu huyo labda wa kolomije ,ila siyo yule aishiye mbinguni.Mungu anamjali kuliko wewe Mungu aliyenaye ni mkuu kuliko huruma zako koko.Tokomea kuzimu na huruma zako koko.
Na mamia ya waTz waonewe huruma pia..Binafsi nimemuonea huruma leo
Namuongelea huyuhuyu mwenye majina mawili mawili kuanzia yeye hfi babu yakeMakonda yupi unamuongelea, huyu Bashite au?