Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wakati tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) ikitangazauchaguzi mdogo wa ubunge Arumeru Mashariki kufanyika Mei 19, Chadema kimesisitiza msimamo wake wa kutoshiriki mpaka Mwaka 2020
Chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimetoa kauli hiyo jana muda mfupi baada ya mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage kutangaza tarehe ya uchaguzi huo.
Chama hicho kikuu cha upinzani nchini kimetoa kauli hiyo jana muda mfupi baada ya mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage kutangaza tarehe ya uchaguzi huo.