Hapa kwetu sijui tumtafute nanii?
haha inabidi umuombe msamaha jamaahata sisi tunae Hashim Thabeet....tunangoja akistaafu kikapu tunampeleka...makumbusho..aingizie nchi fedha za kigeni...
Hapana kule Upareni hakuna mrefu zaidi ya 4.5ft hadi 5ft tu
naona ni upandaji wa hiyo milima
kule upareni sawa....