Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,144
- 3,459
Huu nao ni URAIBU mbaya sana
Kuna watu wakiona hii kitu karoho kanadundadunda...
Kama unajipenda anza zoezi la kuacha..
SODA ZOTE NA ENERGY DRINKS HUSABABISHA
1. Shambulio la moyo
2 uraibu
3.kichwa kuuma mara kwa mara.
4.Kisukari type 2
5. Uharibifu wa figo.
6.kipandauso (Migraine)
7. Saratani (Feeds cancer cells)
Haya kazi kwako .
Najua ni tamu Sana lakini mwisho wake mauti.
Asili huponya
Kuna watu wakiona hii kitu karoho kanadundadunda...
Kama unajipenda anza zoezi la kuacha..
SODA ZOTE NA ENERGY DRINKS HUSABABISHA
1. Shambulio la moyo
2 uraibu
3.kichwa kuuma mara kwa mara.
4.Kisukari type 2
5. Uharibifu wa figo.
6.kipandauso (Migraine)
7. Saratani (Feeds cancer cells)
Haya kazi kwako .
Najua ni tamu Sana lakini mwisho wake mauti.
Asili huponya