Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 17,992
- 43,481
Umefanya vizuri sana, wanaume tunapenda sana wanawake watiifu, wenye kuleta amani ndani ya nyumba na wanaojishushaKiukweli kitu pekee cha maana nilichokifanya ni kurudiana na mwanaume wa maisha yangu.
Baada ya kugundua nilipotea nilijirudi, nikaomba msamaha na hivi sasa maisha yamekuwa na maana kila kitu kinaenda sawia kwa mapenzi & amani anayonipa. Sijui nilifeli wapi haki!
Ila nimejifunza, sitorudia tena. Mwaka 2023 umekuwa bora sana kwangu, Mungu ni mwema.
Sura nzuri na tako bila heshima ni ngumu kudumu kwenye ndoa
Somo zuri kwa wanawake wengine, kila la kheri unapoanza mwaka 2024