Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

Na nini tena
Nilikua na lengo la kununua shamba kubwaaa..na kweli nimenunua mwanzoni mwa mwaka huu..sasa sijaenda muda japo nilizungushia vigingi shamba zima nikapotea kurudi nakuta mtu kalima shamba lotee kumfatilia anasema yy ndo alinunua mwanzo na documents kweli anazo..so muuzaji katuuzia wawili..kesi iko mahakama ya ardhi sasa...so malengo yangu yameingiliwa...
 
Nilikua na lengo la kununua shamba kubwaaa..na kweli nimenunua mwanzoni mwa mwaka huu..sasa sijaenda muda japo nilizungushia vigingi shamba zima nikapotea kurudi nakuta mtu kalima shamba lotee kumfatilia anasema yy ndo alinunua mwanzo na documents kweli anazo..so muuzaji katuuzia wawili..kesi iko mahakama ya ardhi sasa...so malengo yangu yameingiliwa...
Mchaka mchaka wa hapo sio mchezo
 
Hope mko gud wana-JF wote.

Kama heading inavyosema huu mwaka 2023 ni kama umekwisha maana imebakia mwezi mmoja kuingia 2024. Je, wewe ukijifanyia tathimini umefanya nini cha maana ambacho ukikitizama unajipongeza na kufurahi?

God1stFamily2nd.
Huu mwaka umekuwa wa kujifunza kupitia makosa yangu mwenyewe.

Nimepita kwenye tanuri la moto vya kutosha sana,siuhesabu kama ni mwaka mbaya kwangu bali nauhesabu ni kama mwaka wa mafunzo kwangu mimi.

Mola naomba anijaalie nitumie vizuri mafunzo niliyoyapata katika huu mwaka kwa ajili ya maendeleo ya huko mbeleni.

Ameen.

Kwangu hakuna mwaka mbaya.
 
Huu mwaka umekuwa wa kujifunza kupitia makosa yangu mwenyewe.

Nimepita kwenye tanuri la moto vya kutosha sana,siuhesabu kama ni mwaka mbaya kwangu bali nauhesabu ni kama mwaka wa mafunzo kwangu mimi.

Mola naomba anijaalie nitumie vizuri mafunzo niliyoyapata katika huu mwaka kwa ajili ya maendeleo ya huko mbeleni.

Ameen.

Kwangu hakuna mwaka mbaya.
mwaka mbaya kwangu bali nauhesabu ni kama mwaka wa mafunzo kwangu mimi.

point
 
Nilikua na lengo la kununua shamba kubwaaa..na kweli nimenunua mwanzoni mwa mwaka huu..sasa sijaenda muda japo nilizungushia vigingi shamba zima nikapotea kurudi nakuta mtu kalima shamba lotee kumfatilia anasema yy ndo alinunua mwanzo na documents kweli anazo..so muuzaji katuuzia wawili..kesi iko mahakama ya ardhi sasa...so malengo yangu yameingiliwa...
Hizi kesi ni za moto sana.
 
Hope mko gud wana-JF wote.

Kama heading inavyosema huu mwaka 2023 ni kama umekwisha maana imebakia mwezi mmoja kuingia 2024. Je, wewe ukijifanyia tathimini umefanya nini cha maana ambacho ukikitizama unajipongeza na kufurahi?

God1stFamily2nd.
Umenigusa kiongozi. Mwaka umeisha nimeishia kulipa tu karo za watoto basi. Sijajenga hata msingi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli kitu pekee cha maana nilichokifanya ni kurudiana na mwanaume wa maisha yangu.

Baada ya kugundua nilipotea nilijirudi, nikaomba msamaha na hivi sasa maisha yamekuwa na maana kila kitu kinaenda sawia kwa mapenzi & amani anayonipa. Sijui nilifeli wapi haki!

Ila nimejifunza, sitorudia tena. Mwaka 2023 umekuwa bora sana kwangu, Mungu ni mwema.
Una lolote wakati Una mchiti ulikuwa unamuona boya yamekushinda ndio umeamua ujirudi wanawake ni mashetani sana

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom