Mfilisiti
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 344
- 1,555
Wakuu natumai kila mtu Mungu wake anampigania kwa imani yake, niende kwenye mada.
Huu mwaka pindi unaanza niliweka malengo, lakini ukweli nikuwa "unaweza ukafanya kila kitu kwa usahihi na bado ukafeli vile vile"
Mwaka unaisha na mambo yamekwama, sometimes natamani ningekua kuna hela naisikilizia labda ingenitia moyo ila wapiii😂😂
Nilichukua heka tano huko Namtumbo kwa ajili ya kilimo cha mahindi ila sasa kwa hali ilivyo hata heka moja tu kuilima ni mzozo
Pengine 2024 itakua na neema kwetu, Wanangu wasongokaji Mungu hajamalizana nasi.
Account imenuna 😏😏kabisaaa
Huu mwaka pindi unaanza niliweka malengo, lakini ukweli nikuwa "unaweza ukafanya kila kitu kwa usahihi na bado ukafeli vile vile"
Mwaka unaisha na mambo yamekwama, sometimes natamani ningekua kuna hela naisikilizia labda ingenitia moyo ila wapiii😂😂
Nilichukua heka tano huko Namtumbo kwa ajili ya kilimo cha mahindi ila sasa kwa hali ilivyo hata heka moja tu kuilima ni mzozo
Pengine 2024 itakua na neema kwetu, Wanangu wasongokaji Mungu hajamalizana nasi.
Account imenuna 😏😏kabisaaa