Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
Kuna wawezeshaji hapo hujawaorodhesha
Inawezekana lakini ni %chache sana wengi wao akili zao na khulka zipo wazi.Siyo lazima wawepo wawezeshaji....inawezekana ana saloon mbili au tatu, duka la vipodozi, mradi wa kuku wa kienyeji/mayai/nyama, 'anajiongeza' kwa kufundisha/consultancy baada ya kazi, ana mashamba ya kukodisha huko Rufiji/ Morogoro/Kiteto ...na kadhalika na kadhalika....
Bado ungali nahizo fikra mkuu?? hayo mambo ya chuma ulete niadisi tu. haya ukweli wowoteChuma ulete
Mkuu waulize wa swanga majibu watakupa.Bado ungali nahizo fikra mkuu?? hayo mambo ya chuma ulete niadisi tu. haya ukweli wowote