Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Shilole kwa umri huo bado analipa sana, mbona kuna kingunge Zari the boss lady kagonga 47 na Mond 28 ana enjoy tu?Miaka 38-39 ndio umri umeenda sana? Halafu we mwenye 31 unajiona dogo?
Shilole kwa umri huo bado analipa sana, mbona kuna kingunge Zari the boss lady kagonga 47 na Mond 28 ana enjoy tu?Miaka 38-39 ndio umri umeenda sana? Halafu we mwenye 31 unajiona dogo?
Sasa miaka 36 na 31 sio rika moja kivipi?Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Hahaha shangaa wewe!Miaka 38-39 ndio umri umeenda sana? Halafu we mwenye 31 unajiona dogo?
Hajui kama wote wapo 30's,Sasa miaka 36 na 31 sio rika moja kivipi?
Le Mutuz ni class mate wa Mizengo Pinda.
Le Mutuz ni class mate wa Mizengo Pinda.
Kwa nn sasa usiseme ukweli we sema tu kwamba mimi nina miaka kadhaa. Vp we dada angu shilole!?Maelezo mareeefu kisa tu umri wa mtu sasa akiwa mbibi au kikongwe mimi na wewe vinatuhusu nini?? mumewe si anaujua umri wa mkewe shida iko wapi.
Don forget Age is just a number. lol.
Sio wote sema wewe!Yaani mdau kutaja tu umri wa Shilole unamfukunyua kiasi hicho?!. ..........kapanga kwetu.......... kauza ndizi stendi........... mume wake........
Ni nini kimekuuma sana kwenye umri sahihi wa Shilole?
Nikufahamishe kitu. Dunia nzima inajua kwamba mwanamke akikutajia umri wake hutakiwi kumbishia, unaukubali huo umri na kukaa kimyaa.
Umri aliokutajia Shilole ndio umri wake.Fukunyua fukunyua ya nini?Kaa kimya!
Sio kweli Mkuu. Jaribu kutafta interview zake uone jinsi anavyojichanganya.Hapana,huyu binti unasemekana alipewa mimba akiwa kidato cha pili Igunga sec,au hakusoma hapo Igunga Sec?
Kwani wewe ni James delicious??Kwa nn sasa usiseme ukweli we sema tu kwamba mimi nina miaka kadhaa. Vp we dada angu shilole!?
Polepole nimesoma nae na ni age mate wangu ana 38Mkuu bwana Polepole na ndg Baharia kama waliwahi kupanga kwenu naomba utuletee umri wao elekezi,maana sintofaham zimekuwa nyingine.
Sasa wewe bora uandike jina lako kabisa maana huo utangulizi uloweka ni rahisi sana Shishi akipita hapa akutambue vizuri.Leo katika pitapita zangu nikaona nijaribu kueleza kidogo juu ya umri wa dada yangu wa Igunga Zuwena au maarufu kama Shilole.
Nimemkumbuka kwa mambo mawili; Mosi kama mtu ambaye aliwahi kuwa mpangajj wetu pale Igunga akiwa ameolewa mwaka 2000 na 2001. Lakini pili, namna ambavyo imekuwa ni vigumu kwake kusema ukweli juu ya umri wake halisi. Haya mambo mawili ndo yananifanya nimkumbuke.
Bila shaka wale wenyeji wa igunga mjini tutakuwa tunamkumbuka huyu binti si kwa umaarufu wa sasa bali umaarufu wa mme wake wa zaman ambae ni mzazi mwenzie pale Igunga bw. Makala.
Nakumbuka nikiwa nasoma kidato cha kwanza pale Igunga day (2001) Makala na Mkewe Shilole walikuwa wapangaji wetu. Mie nikiwa mtoto mdogo na Shilole akiwa pale kwetu nilikuwa namuona si rika langu kabsa.
Wakati anafanya biashara ya ndizi pale stand tulikuwa na tabia ya kuingia chumbani kwake na kuiba ndizi zake. Na siku moja alitupa Kiminyo baada ya kuona mzigo alioleta umepungua (nifupishe).
Leo hii mimi nmekuwa mtu mzima (miaka 31) lkn pia nikimuangalia mme wake (Makala) nae tayari umri umeenda sana (makadirio ni miaka 38-39).
Pamoja na kwamba shilole hasemi umri wake sahihi na imekuwa ni mtihani mkubwa sana kwake hasa pale anapoulizwa historia yake, basi naweza kusema kwamba Shilole ni Mama wa Makamo. Ni Rika moja na dada angu aliyezaliwa 1981 na wamesoma darasa moja.
Hivyo basi makadirio ya chini ya umri wa shilole ni Miaka 36.
Lakini nampongeza kwa mfanikio aliyonayo mpk sasa lkn nimshauri tu asiteseke kuficha umri, hii itamsaidia pia kuwa huru zaidi.
Asanteni
kingunge wa JF
Mshukuru Mungu kwa kukufikisha umri huo dada Shilole...Kwani wewe ni James delicious??