kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,975
- 3,824
Kwa wanaume ambao wameshakuwa na mahusiano at least zaidi ya matatu watakuwa mashuhuda wangu hapa sababu najua kwenye hizo break ups lazima utakuwa umeshawah kukutana na haya maneno!."hutapata mwanamke atakayekupenda kama mimi"..na mara nyingi baada ya kuambiwa haya maneno hufuata matendo yaliyo kinyume kabisa,kama mwanamke kutaka kulipiza kisasi na vitisho vingine..
serioulsy wadada huwa mna maanisha nini mkisemaga hivyo coz najua wengi humu mlishajikuta kwenye situation mkasema HUTOPATA MWANAMKE ATAKAYEKUPENDA KAMA MIMI.!
serioulsy wadada huwa mna maanisha nini mkisemaga hivyo coz najua wengi humu mlishajikuta kwenye situation mkasema HUTOPATA MWANAMKE ATAKAYEKUPENDA KAMA MIMI.!