Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

Nomile

Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
99
Reaction score
122
Ikiwa mtu anaamini siasa za kujikomba,maslahi binafsi mbele,na kuhongo ili kununua uongozi ni dhahiri Bwana Bashe ni mtu wmenye sifa hizo.

Tangu mwanzo wa harakati zake za kuyatafuta madaraka hajawahi kuacha hira na mbinu zote za hovyo ili aweze kukidhi matakwa yake.Mnamo 2010, alishiriki kuwania jimbo la Nzega na Bwana Lukas Seleri na kufanikiwa kuhonga wajumbe wote katika mchakato wa kura za maoni, na kwa msaada mkubwa wa Godfather akafanikiwa kumshinda kwa rushwa Seleri bahati nzuri Mwenyekiti wa chama alitumia turufu yake vizuri.

Sasa anajipambanua kwamba atawasaidia wananzega kuonda kero zao, ikiwa yeye ndio mtendaji mkuu wa Habari Corporation ya Rostam Aziz. Wafanyakazi wengi wanayo malalamiko mengi dhidi yake,wanadhulumiwa haki zao nyingi sana ikiwemo na mafao yao ya NSSF kutopelekwa kunako husika pamoja na kuonekana kukatwa kila mwezi.

Mikataba ya wafanyakazi limekuwa jambo sugu, wafanyakazi wengi hawana mikataba ya kazi wanaishi kama vibarua, wanaodai haki zao huishia kufukuzwa ama kutishiwa kufukuzwa.

Yeye muda mwingi anashughulika na harakati zake za kifisadi kule Morogoro ambapo makato yetu ya mifuko ya hifadhi anapeleka kuwekeza kule Morogoro anakomiliki mashamba ya mifugo na kilimo.

Asipokatwa mapema anaweza kushinda kwa nguvu ya pesa za akina Rostam na akiingia bungeni ataendeleza uhasi alioisha uanza siku nyingi na atageuka mpinzani ndani ya chama.

Akatwe!
 
Hivi kweli Bashe amedhamiria kuwawakilisha wananchi bungeni au anakwenda kulinda maslahi yake binafsi?!
 
Hamis Kigwangala anamuogopa sana Bashe..Kigwangala alizawadiwa ubunge kwa kujipendekeza kwa rizwani,,Sasa hivi hakuna wa kumbeba ubunge atausikia redioni tu.. Wana nzega wanamtaka Bashe

Wee nawe punguza umburula! Nani kakwambia Bashe na Kigwagala wanagombea jimbo moja?!
 
Hivi kweli Bashe amedhamiria kuwawakilisha wananchi bungeni au anakwenda kulinda maslahi yake binafsi?!

enl.jpg
IMG-20150530-WA0129.jpg
 
Nomile

1. Kipindi Bashe anaingia Habari Cop kama CEO alikuta wafanyakazi hawapati mshahara zaidi ya miezi 4 mpaka 5, leo hii ukienda pale utakuta kila mwisho wa mwezi wafanyakazi wanakenua meno....

2. Bashe leo hii kawawezesha wafanyakazi wote bila kujali nafasi zao kupata mikopo ya magari. Leo hii mpaka mhudumu anaendesha verosa au Rav 4. Hata BOT hawawezi kufanya hivyo...

3. Bashe kipindi anaingia kampuni ilikuwa inachapisha Jamana, ila leo hii kafunga mashine mbili mpya kabisa kwa ajili ya uchapishaji na magazeti ya Nipashe yataanza kuchapishwa hapo Sinza kwa muda kabla mashine yao kuwa tayari...

4. Kima cha chini cha mshahara ni 360,000 Tsh. Huyo ni mfagiaji. Unataka afanye nini jamani, kama sio upumb.vu kuongea vitu usivyovijua....

5. Leo hii wafanyakazi wanakopa banki ya CBA. Ni mara ya kwanza tokea Uhuru kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwa na uwezo wa kukopa benki...

6. Bashe kafanikiwa kujenga majengo mawili yenye ofisi zaidi ya 26 kwa kipindi kifupi alichokaa pale. Ulitaka afanye nini?

7. Ni kampuni hiyo ndio inaongoza kwa kuwa na waandishi wenye ueledi wa hali ya juu kama Msacky na Kibanda. Unataka afanye nini cha ziada?.

8. Bashe kila ijumaa anatoa sadaka wa wahitaji zaidi ya million 1mpaka 3, kama unataka kuthibitisha ijumaa pita pale Sinza kijiweni ushuhudie foleni. Unataka nini cha ziada?

9. Ni kampuni hiyo inayosomesha zaidi ya wanafunzi 400 Tanzania nzima, wengi wao wakiwa wakazi wa Nzenga wasio na uwezo wa kulipa ada. Unataka afanye nini cha ziada kama sio uji.nga wako na upumba.vu wako...

10. Leo hii Habari cop sio ile ya zamani. Amefanya ukarabati ofisi zote, eneo la nje, ukuta nk....

Utachafua watu wote lakini kamwe huwezi kumchafua Bashe, tena una bahati sana, ukiongea hayo maneno mbele ya vijana walahi utapata kipigo cha milele....
 
Kambi zote zimevunjwa na kuundwa kambi moja inayoongozwa na Captain Magufuli
 
Wee nawe punguza umburula! Nani kakwambia Bashe na Kigwagala wanagombea jimbo moja?!

Kuna watu wanashobo hata huwezi kuelewa wanatembelea kichwa ama miguu kajichanganya
 
ocampo four

Siku zote nilikua najua ID hii ni ya yule Mwanahabari 'Tall' aliekua Team Mamvi kama PR wake..muongo sijui li nani..kumbe ni ww mwenyewe unaezungumziwa kwenye Uzi huu..Kila la Heri!
 
Last edited by a moderator:
Nomile wewe ni hasidi kiwembe na bila shaka umetumwa na akina selelii uanze kumpaka matope Bashe. wafanyakazi wanyimwe haki zao, wafukuzwe hlafu wakae kimya mpaka wewe uje kuwasemea? acha siasa za maji taka kwani 2010 kilichomuondoa bashe ni kigogo wa ikulu kumbeba kigwangala na si vinginevyo. hakatwi mtu hapa
Ikiwa mtu anaamini siasa za kujikomba,maslahi binafsi mbele,na kuhongo ili kununua uongozi ni dhahiri Bwana Bashe ni mtu wmenye sifa hizo.

Tangu mwanzo wa harakati zake za kuyatafuta madaraka hajawahi kuacha hira na mbinu zote za hovyo ili aweze kukidhi matakwa yake.Mnamo 2010, alishiriki kuwania jimbo la Nzega na Bwana Lukas Seleri na kufanikiwa kuhonga wajumbe wote katika mchakato wa kura za maoni, na kwa msaada mkubwa wa Godfather akafanikiwa kumshinda kwa rushwa Seleri bahati nzuri Mwenyekiti wa chama alitumia turufu yake vizuri.

Sasa anajipambanua kwamba atawasaidia wananzega kuonda kero zao, ikiwa yeye ndio mtendaji mkuu wa Habari Corporation ya Rostam Aziz. Wafanyakazi wengi wanayo malalamiko mengi dhidi yake,wanadhulumiwa haki zao nyingi sana ikiwemo na mafao yao ya NSSF kutopelekwa kunako husika pamoja na kuonekana kukatwa kila mwezi.

Mikataba ya wafanyakazi limekuwa jambo sugu, wafanyakazi wengi hawana mikataba ya kazi wanaishi kama vibarua, wanaodai haki zao huishia kufukuzwa ama kutishiwa kufukuzwa.

Yeye muda mwingi anashughulika na harakati zake za kifisadi kule Morogoro ambapo makato yetu ya mifuko ya hifadhi anapeleka kuwekeza kule Morogoro anakomiliki mashamba ya mifugo na kilimo.

Asipokatwa mapema anaweza kushinda kwa nguvu ya pesa za akina Rostam na akiingia bungeni ataendeleza uhasi alioisha uanza siku nyingi na atageuka mpinzani ndani ya chama.

Akatwe!
 
Ikiwa mtu anaamini siasa za kujikomba,maslahi binafsi mbele,na kuhongo ili kununua uongozi ni dhahiri Bwana Bashe ni mtu wmenye sifa hizo.

Tangu mwanzo wa harakati zake za kuyatafuta madaraka hajawahi kuacha hira na mbinu zote za hovyo ili aweze kukidhi matakwa yake.Mnamo 2010, alishiriki kuwania jimbo la Nzega na Bwana Lukas Seleri na kufanikiwa kuhonga wajumbe wote katika mchakato wa kura za maoni, na kwa msaada mkubwa wa Godfather akafanikiwa kumshinda kwa rushwa Seleri bahati nzuri Mwenyekiti wa chama alitumia turufu yake vizuri.

Sasa anajipambanua kwamba atawasaidia wananzega kuonda kero zao, ikiwa yeye ndio mtendaji mkuu wa Habari Corporation ya Rostam Aziz. Wafanyakazi wengi wanayo malalamiko mengi dhidi yake,wanadhulumiwa haki zao nyingi sana ikiwemo na mafao yao ya NSSF kutopelekwa kunako husika pamoja na kuonekana kukatwa kila mwezi.

Mikataba ya wafanyakazi limekuwa jambo sugu, wafanyakazi wengi hawana mikataba ya kazi wanaishi kama vibarua, wanaodai haki zao huishia kufukuzwa ama kutishiwa kufukuzwa.

Yeye muda mwingi anashughulika na harakati zake za kifisadi kule Morogoro ambapo makato yetu ya mifuko ya hifadhi anapeleka kuwekeza kule Morogoro anakomiliki mashamba ya mifugo na kilimo.

Asipokatwa mapema anaweza kushinda kwa nguvu ya pesa za akina Rostam na akiingia bungeni ataendeleza uhasi alioisha uanza siku nyingi na atageuka mpinzani ndani ya chama.

Akatwe!

Makundi yamekwisha ndani ya ccm, yalikuwa 43 sasa limebaki kundi moja tu, mwacheni Bashe aongoze wana Nzega.
 

Siku zote nilikua najua ID hii ni ya yule Mwanahabari 'Tall' aliekua Team Mamvi kama PR wake..muongo sijui li nani..kumbe ni ww mwenyewe unaezungumziwa kwenye Uzi huu..Kila la Heri!

Utahangaika sana. Bashe mwenyewe saizi yuko Nzenga, Mimi niko Dar, kama uko Dar tukutane Kibo Complex saa moja....
 
ocampo four

Hamfahamu Bashe huyo kijana wallah Hussein ana moyo sana hasa wa kutoa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom