Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
X-mas lazima wapeweBuku 7 zimerudi tena
X-mas lazima wapeweBuku 7 zimerudi tena
hawa hawa wezi au toleo jipya?Jamaa huwa hana makuu na amini usiamini huyo ndiye kiboko ya wezi wote wa CCM ENDAPO atakuja kuwa mwenyekiti
Unataka tufunguke ili ujione bwege na ufute uzi wako kwa aibu ?
Hussein yupi?huyu huyu tuliyemlea mkuranga tusimwiji! Kinaugua weye,
Inaingia vipi katika future ya kisiasa?Amani ya moyo
Huyo huyo leteni madudu yake ya kifisadi tuyasikie. Vinginevo mngeyajua mngeyabwaga siku nyingi sana au mnamuogopa ?Hussein yupi?huyu huyu tuliyemlea mkuranga tusimwiji! Kinaugua weye,
Unajua kuhusu issue ya ushoga na usagaji?CCM Ina wazee wa Chama kibao waliofanya makubwa nchi hii lakini wengi wa watoto wao hawana political future wakiwemo akina Nape ,fatuma karume akina Makamba ,Makongoro Nyerere,Ridhiwani Kikwete Nk
Mtoto pekee ambaye ana political future ya uhakika ni Raisi Hussein Mwinyi wa Zanzibar TU
Hao wengine wazazi wao wakizeeka sana au vizee vyao vi Godfather Wanavyovitegemea vikizeeka sana au kufa watapigwa mateke nje ya CCM na serikali sababu hawajibebi wanategemea mbeleko Za ohhh sisi CCM ya baba zet Na mama zetu !!! Ni Chama chetu!!!
Raisi Mwinyi anajibeba mwenyewe hategemei mbeleko ndio maana political future yake iko guaranteed tofauti na hao wengine
Yaah! Ukiwa rais wa Zanzibar (ambaye ni sawa na RC wa Katavi) unaweza kuja kuwa rais wa kweli kweli (rais wa JMT).Ukishakua Rais kuna future nyingine katika siasa?
Ismail Jussa alitenguliwa miguu na nani wakati wa uchaguzi 2020?Nitasimama popote kumdefwnd huyu hussein mwinyi ni mtu muadilifu na muungwana sana,ana roho ya kistaarabu kana kwamba hakukulia kwenye neema ya uongozi.
Maalim seif alipata shida sana kumponda mbele ya wazanzibar kwa sababu hakuna na la maana la kumsemea akabakia kusema oooh mtalii,mara ccm n.k ila kiukweli maalim mwenyewe alijua kwamba jamaa ni jembe
Hebu funguka kwani hapa.Unajua kuhusu issue ya ushoga?
Sina lawyer mkuuHebu funguka kwani hapa.
Yaah! Ukiwa rais wa Zanzibar (ambaye ni sawa na RC wa Katavi) unaweza kuja kuwa rais wa kweli kweli (rais wa JMT).
ntakua mie hapa usijar.Sina lawyer mkuu
Hii ndiyo roho ya visasi uliyopandikiziwa. Huko nyuma hatukuwahi kuwa na hali hii ya kuwabagua baadhi yetu kisa tu baba zao walikuwa viongozi. Kwa roho ya namna hii ushindwe na ulegee. Umeona fursa ya ulaji wako imefungwa umeamua kutuletea uzi wa visasi. Mbona wakati ukila mema awamu iliyopita ulikaa kimya, zaidi ulishangilia tu. Kuwa mpole wenzio wakila kama ulivyokuwa wewe.CCM Ina wazee wa Chama kibao waliofanya makubwa nchi hii lakini wengi wa watoto wao hawana political future wakiwemo akina Nape ,fatuma karume akina Makamba ,Makongoro Nyerere,Ridhiwani Kikwete Nk
Mtoto pekee ambaye ana political future ya uhakika ni Raisi Hussein Mwinyi wa Zanzibar TU
Hao wengine wazazi wao wakizeeka sana au vizee vyao vi Godfather Wanavyovitegemea vikizeeka sana au kufa watapigwa mateke nje ya CCM na serikali sababu hawajibebi wanategemea mbeleko Za ohhh sisi CCM ya baba zet Na mama zetu !!! Ni Chama chetu!!!
Raisi Mwinyi anajibeba mwenyewe hategemei mbeleko ndio maana political future yake iko guaranteed tofauti na hao wengine
Una ushahidi gani kwamba ni huseni mwinyi aliagiza hilo lifanyike ?Ismail Jussa alitenguliwa miguu na nani wakati wa uchaguzi 2020?
Ayo mafunzo yanasaidia kitu gani?Hivi alienda JKT huyu miaka ile kwenye mafunzo ya mujibu wa sheria?