2nahama kiwanja sasa. 2naenda Savannah lounge
Hahahaaaaa kweli ushachoka sana..unauliza kavipata wapi?Unadhani hvyo vyote amevpata wapi? Angalia sana kijana
Teh kama Dar ingekuwa ndo mambo yote wife asingekuwa ndani ya kifua cha kijana Erickb52......na leo huoni hapatikani?tan taraaaa!...ricky labda aende club aquiliner...akakamate watoto wakimbulu pale...dar ndio tanzania bana...anataka kushindana na sisi!Mwambie amy hii ndo daslam! na kila siku ni kama sikukuu...sio mpaka eid kubwa sijui!
ngoja mie nikafundishe kingereza mtaa wa pili, hapa wamejaa watunzi wa mashairi ya taarabu.
Umewasahau wapiga majungu...ngoja mie nikafundishe kingereza mtaa wa pili, hapa wamejaa watunzi wa mashairi ya taarabu.
tan taraaaa!...ricky labda aende club aquiliner...akakamate watoto wakimbulu pale...dar ndio tanzania bana...anataka kushindana na sisi!Mwambie amy hii ndo daslam! na kila siku ni kama sikukuu...sio mpaka eid kubwa sijui!
Kama ya Uporoto na Husny haikudumu je yako itadumu?
Ukizingatia wewe ni mwenyekiti wa Mjungu Society....
Lol atakukimbia hata kabla ya week mbili lol
Hahahaaaaa kweli ushachoka sana..unauliza kavipata wapi?
Mtoto kaenda shule au unamuonaje?
Unamuangalia kwa wasiwasi eeeh
Take Care kijana
Teh kama Dar ingekuwa ndo mambo yote wife asingekuwa ndani ya kifua cha kijana Erickb52......na leo huoni hapatikani?
Mtoto ananiangalia hapa ninavyoreply Pumba zako na Mtei
Hahahahahahaaaaaa kwisha habari yenu
mwenyejamvi ni nani?anyway i wil prove you wrong thats a promise!,nimefundwa nikafundika eeh
Hivi nawewe Nitty unaziamini pumba za hawa walevi?Mbona hivyo bagah mwantia hasira kumchukua Amyner shemeji yangu
Mbona hivyo bagah mwantia hasira kumchukua Amyner shemeji yangu
Kwetu hatusemagi hayo maneno wewe umeyatoa wapi?
Ah mpaka sasa nimeprove Canta na Amy wambefundwa wakafundishika ila wewe na SL bado mnasuasua ingawa SweetLady Nitonye amefanikiwa kumuweka sawa siku hizi....kazi ni kwako sasamwenyejamvi ni nani?anyway i wil prove you wrong thats a promise!,nimefundwa nikafundika eeh
hahahahahaha mwanaume pesa. Unatoa mimacho 2 wakat mfukon hauna hata sumni.
Acha mimi nilee mtoto mrembo. alikuwa ana2mia Opa bt nina plan ya kumnunulia prado ya mwaka 2011.
Hatak tena kupanda toyo
true that...opa imekua yeboyebo sana...infakt she z too beautful for it!...Verosa ingekua poa zaidi!
Umewasahau wapiga majungu...
Wadogo zako Mtei na Bagah
Mbona hivyo bagah mwantia hasira kumchukua Amyner shemeji yangu
Mh mimi hapo sitii neno jamaniYan shem unafikiri hawa Bagah na Mtei wananiweza mimi?
Bado watoto wadogo kwa kila kitu labda umri tu....Mimi sioni mwingine kama Erick..nampenda yeye tu na Sitamuacha kamwe...I love you my dia Erick....
Mwaaaaaaaah
nitty mjini WALLET!