Dah siunajua Husny anataka kupata jiko jipya wakati bado la zamani hajaliachia....Salamu zilifika...
Ndio nimeingia humu naona mmechangamka sana.....
We mi nimeoa ila nlikupa napga ndondo kwa Husninyo na alikuwa ananikosha. Ctak aolewe na JG coz hatakuwa huru kuja kwangu kwa ajili ya out work. C unajua jnc JG anabana?
cata hawezi nizuia kabisa....ndio maana namuona muda wote yupo nanyi wifi zake!Nipo kaka Rejao, nimejaa tele. Naona siku hizi wife kakukataza kusalimia hata dada zako...
Kwema kaka?
HahahaaaMchunge sana b52 huenda "anakusaidia".....lol!
Hata mimi nilijua niko na mtu mwenye nia njema kwa Uporoto kumbe anajitetea mwenyewe...dahTehe tehe tehe....nimepata sababu ya kupiga majungu!
DuhKula kitumbua siyo option tena ma dia...Halafu nina hamu sanaaa
Hehehe,smal hauc tupa kule,utajibebaje mwaka huu!ndio anaolewa ivo labda ukaombe kuwa mme mdogo kwa kongosho lol!
Unajua nini kaka, ngoja nikunong'oneze ila usimwambie mtu. Namzimia sana Husninyo ila sasa nashangaa wenzangu wanamchukua kiulaiini, sasa iliyobaki ni kupiga majungu tu...tehe!Hapana Katavi...
Familia yangu na ya Rejao ni friends sana...
Yan tuko pamoja sana ndo maana hata Rejao akinikuta na Canta hana shida na mimi nikimkuta na Amy sina tatizo...
So usijali.
Ila nawewe umo kwenye majungu naona....dah kazi kweli kweli
Teh
Ina maana unataka kusema kuwa Mtei analeta fitina kwa sababu ya wivu?
Yan na yeye anamtaka Husny?
Mh hapo mi simooooo!
Hata mimi nilijua niko na mtu mwenye nia njema kwa Uporoto kumbe anajitetea mwenyewe...dah
Mtei noma
Hahahahaaha, umeamua kuanza beef na Uporoto? lolKufuatia Uporoto kukuona wa kazi gani ! Mimi kwangu nakuchukulia kama "Mali Kipusa"
Husniy kwangu utakua Dhahabu .
Husniy utakua Tanzanite .
Hii ni OFFER maalumu kwako, njoo mammiy nikupe faraja , nikupe yale uliyokua ukiyakosa kwa Mwanaume mfupi . Yapo mengine nimeyaandika kule kwenye Sredi ya Uporoto ya jana yenye heading "Wanawake wanaotoroka kwao" unawezarejea ktk Sredi hiyo uchungulie.
Come'on Baby hutojuta kuja kipande hii ,
wadau mnaonitakia mema niuage usimbe hapa Jeief nawaomba vote to me !
Nipigieni debe kwa hiki kipussa
Sitegemei kama utaniumbua hadharani hivi kwa kuikataa Proposal yangu mchana kweupe .
NOTE : Mtu atema! Mtu adaka !
Halafu yule anatembea na AK 47 kama ya Malima....Namuonea huruma sana Judgement!Dah siunajua Husny anataka kupata jiko jipya wakati bado la zamani hajaliachia....
Hivi hujamwona Uporoto kokote tumpe hizi habari?
Akisikia Husny anaolewa atakufa kwa pressure
Kwa Amy huwezi hata ufanyaje....ucjali Erick. Mi napga ndondo tu. hapa amyner naye nafanya mpango wa ndondo.
Labda umeze wembe.
Sio wote wanaolia msiban wanamlilia marehem wengine wanamdai alafu hawakuandikishana naye,hahahaha!
Yan wakipiga colabo...vita yake sijui nani ataituliza....Halafu yule anatembea na AK 47 kama ya Malima....Namuonea huruma sana Judgement!
Kuna Kloro pia...naye naona bado hajapata hizi taarifa!!
Kwa Amy huwezi hata ufanyaje....
Hivi unamfananisha Amyner na Husny?
Lol yule ni HIGH LEVEL balaaaaaaaaa
Chunga sana aisee....
teh teh teh. tafadhal nakuomba Ucje ukanivurugia utaratbu wangu wa ndondo.
Katavi, usiwe na wasi..Erick nimempa kazi ya kunilindia Canta...Mmh wewe..! Ulikuwa unafanya nini mke wa Rejao? Utatolewa macho, humjui Rejao ....
Makombo