Huyo mwanamke alietoa hiyo picha ya mumewe hajatulia kabisa,halafu ndio kwanza anamtafutia soko kwa wale wanaopenda waume za watu. Hiyo,haisaidiikabisa,Mwanamme au mwanamke KAMWE hachungwi,bali hujichunga mwenyewe. Duuuh,nazidi kumshangaa huyo bibie,anaanika simu yake hewani ili atongozwe au?