Husband anahitajika wana JF..

Husband anahitajika wana JF..

Hiv kwa nn wadada weng humu wanaotafuta wenza ni kuanzia age of 30 plus? ina maana wakifikisha huo umr ni vigumu kumpata atakaye muoa? Au tatzo n nn
 
Wanaume wenye umri huo unaoutaka tayar wameshaoa na wana watoto. .labda ukubali kuwa mke wa pili
 
hi
wanajamii forum
wapo wanaodai mie nihuyo mdada liyewaita mabaazazi baadhi ya wanapm,ukweli mie sie ,ila bahati mbaya siwezi kuprove.Ila nafahamu wapo watakao kuwa serious wataniamini.
tafadhari kwa wa pm naambiwa mpaka niwe na post 5m kuweza kureply so plz mnivumilie nipost hizo 5, au mniemail wakati nafanya utaratibu wa kupost
Asanteni
 
Hivi humu kutakuwa na husband materials kweli? Bora uende kanisani na kuhudhulia hafla mbali mbali u might meet mr right! Huku kuna VIPOZA ROHO na MAPAKASHUME tu! ( samahan waungwana sijawatusi nampa reality)
 
Yule dada wa Pm zake zimejaa kaharibia Wengi... Ila km ndo umerudi kwa ID nyingine poleeee
 
huyu anawachora tu. ukute ni mwanaume mwenzetu kaja na id za kike.
 
Yule dada wa Pm zake zimejaa kaharibia Wengi... Ila km ndo umerudi kwa ID nyingine poleeee

Kwiiiii kwiiii naona na ile thread ime-muvuzishwa imepelekwa chit chat ila bado waungwana nawamkomalia hata kama iko chit chat niliiacha ina comments lundo.
 
hii wana JF

Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika kutafuta mwenza wa maisha. Maombi yangukwa Mwenyezi Mungu ni kunipatia Mwenza bora atayenifaa.Hivyo tafadhariwanajamii forum atake ona anavigezo nayuko tayari na aliye serious tafadhari anipm. Mengine mengi tutajulishana tukifanikiwa kuelewana na mwenzamtarajiwa.

Sifa zangu
Mie ni mwanamke wa umri wa miaka kati ya 30-34, mrefu5: 10 mnene wa wastani mweusi
Nina mtoto mmoja
Elimu yangu niko chuonimwaka wa pili masomo ya jioni nilimaliza A level zamani ila nikaendelea na pilika za maisha mpakamwaka jana ndo nikaingia chuo kwa kujiendeleza zaidi.

Napenda kupika,kusoma vitabu kusikiliza music na kuhave fun na family na marafiki muda wa mapumziko





Sifa za mwanaume
Naomba awe na umri kuanzia miaka 36-48.
Awe na uelewa wa kutosha kwa maana ya maisha, mwenye kupenda kujiendeleza kamamfano ana elimu ya chini
Awe hana mtoto au akiwa nae mmoja au watoto mwisho wawili sitatizo
Kabila lolote rangi yoyote
Awe mrefu kiasi hata nikimzid kidogo si mbaya au akinizidi,, Hapa tafadhari msinielewe vibaya wala sio nabagua
ila jamani nitaonekana dada yake... haahaa im kidding..
Awe mchangamfu ,,ndani ya nyumba smile ziwepo.


NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu .. maanahuwezi kupokea mtazamo positive tu hata mitazamo negative na ndio inanifanyaniprove watu kuwa walivyokuwa wanachukulia au kufikiria ni tofauti na nimefikakutoka point A to point B.
mawasiliano kwa PM au nitumie email zinty300@yahoo.co.uk

Karibuni waungwana.









NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu. karibuni
very nice...
 
hii wana JF

Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika kutafuta mwenza wa maisha. Maombi yangukwa Mwenyezi Mungu ni kunipatia Mwenza bora atayenifaa.Hivyo tafadhariwanajamii forum atake ona anavigezo nayuko tayari na aliye serious tafadhari anipm. Mengine mengi tutajulishana tukifanikiwa kuelewana na mwenzamtarajiwa.

Sifa zangu
Mie ni mwanamke wa umri wa miaka kati ya 30-34, mrefu5: 10 mnene wa wastani mweusi
Nina mtoto mmoja
Elimu yangu niko chuonimwaka wa pili masomo ya jioni nilimaliza A level
zamani ila nikaendelea na pilika za maisha mpakamwaka jana ndo nikaingia chuo kwa kujiendeleza zaidi.

Napenda kupika,kusoma vitabu kusikiliza music na kuhave fun na family na marafiki muda wa mapumziko





Sifa za mwanaume
Naomba awe na umri kuanzia miaka 36-48.
Awe na uelewa wa kutosha kwa maana ya maisha, mwenye kupenda kujiendeleza kamamfano ana elimu ya chini
Awe hana mtoto au akiwa nae mmoja au watoto mwisho wawili sitatizo
Kabila lolote rangi yoyote
Awe mrefu kiasi hata nikimzid kidogo si mbaya au akinizidi,, Hapa tafadhari msinielewe vibaya wala sio nabagua
ila jamani nitaonekana dada yake... haahaa im kidding..
Awe mchangamfu ,,ndani ya nyumba smile ziwepo.


NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu .. maanahuwezi kupokea mtazamo positive tu hata mitazamo negative na ndio inanifanyaniprove watu kuwa walivyokuwa wanachukulia au kufikiria ni tofauti na nimefikakutoka point A to point B.
mawasiliano kwa PM au nitumie email zinty300@yahoo.co.uk

Karibuni waungwana.









NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu. karibuni
Dada kama upo serious nitafute. Kuna mkaka mmoja anatafuta mke na yy. Ni ana kipato cha kawaida je utamkubali?
 
hii wana JF

Mie ndo mara ya kwanza kupost hapa ila si mgeni wa kusoma post humu jamii forum. nafahamu huku kwenyesocial media waliomo humu, ndio waliokomitaani hivyo nimeona nijitokeze katika kutafuta mwenza wa maisha. Maombi yangukwa Mwenyezi Mungu ni kunipatia Mwenza bora atayenifaa.Hivyo tafadhariwanajamii forum atake ona anavigezo nayuko tayari na aliye serious tafadhari anipm. Mengine mengi tutajulishana tukifanikiwa kuelewana na mwenzamtarajiwa.

Sifa zangu
Mie ni mwanamke wa umri wa miaka kati ya 30-34, mrefu5: 10 mnene wa wastani mweusi
Nina mtoto mmoja
Elimu yangu niko chuonimwaka wa pili masomo ya jioni nilimaliza A level
zamani ila nikaendelea na pilika za maisha mpakamwaka jana ndo nikaingia chuo kwa kujiendeleza zaidi.

Napenda kupika,kusoma vitabu kusikiliza music na kuhave fun na family na marafiki muda wa mapumziko





Sifa za mwanaume
Naomba awe na umri kuanzia miaka 36-48.
Awe na uelewa wa kutosha kwa maana ya maisha, mwenye kupenda kujiendeleza kamamfano ana elimu ya chini
Awe hana mtoto au akiwa nae mmoja au watoto mwisho wawili sitatizo
Kabila lolote rangi yoyote
Awe mrefu kiasi hata nikimzid kidogo si mbaya au akinizidi,, Hapa tafadhari msinielewe vibaya wala sio nabagua
ila jamani nitaonekana dada yake... haahaa im kidding..
Awe mchangamfu ,,ndani ya nyumba smile ziwepo.


NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu .. maanahuwezi kupokea mtazamo positive tu hata mitazamo negative na ndio inanifanyaniprove watu kuwa walivyokuwa wanachukulia au kufikiria ni tofauti na nimefikakutoka point A to point B.
mawasiliano kwa PM au nitumie email zinty300@yahoo.co.uk

Karibuni waungwana.









NB : najua katika jamii kuna watu wa mtazamo tofauti..sitakuwa offended na comments za watu nitachukulia ni challenges tu. karibuni
ni-PM tafadhari...
 
Back
Top Bottom