Hunter hunted - Simba agonga mwamba kwa nyati

Hunter hunted - Simba agonga mwamba kwa nyati

S1.jpg


S8.jpg


S2.jpg


S3.jpg


S5.jpg


S4.jpg


S7.jpg


S6.jpg

Huyu simba inaonekan ameporwa territory yake na simba wengine, ndio maana yupo peke yake. Amepatwa na.njaa sana, kaamua kwenda kuwinda, asinge weza survive kwa nyati akiwa peke yake.
 
Niliiona jana mahali,ni Zambia,Simba akafa na baada siku mbili Nyati nae akafa baada kupata uambukizo...
 
Huyo atakuwa Yanga sio Simba huyo.Simba gani bwegwe au labda mkisema Simba wa Aveva sawa ntawaelewa
 
Nyama ya nyati ni tamu sana,,,,,vita ni kuotea na mapambano nyati kamzidi mwindaji
 
Mkuu wangu KikulachoChako Simba mmoja hana uwezo wa kumdhibiti Nyati dume haijalishi kama Simba ni kijana Mzee au Simba wa rika gani huo ndio ukweli halisi.

Hiyo picha niliiona Dstv huyu Simba alikuwa anawafukizia kundi la Nyati ghafla Nyati dume kama watatu wakageuka uelekeo wa Simba kuona hivyo akakimbilia kupanda mti ambao ulikuwa si mkubwa sana tena hakuweza kupanda juu sana kundi la Nyati lakauzingira mti Simba akaingiwa na uwoga sijui ilichukua muda gani lakini inaonekeana Simba alichoka kukaa kwenye mti akadondoka kundi la Nyati wakamvaa wakamtwanga pembe za kutosha.

Niliona clip nyingine Simba majike saba walikuwa wamemzingira Nyati dume mmoja aliyekuwa amekaa katikati ya mto wenye kina si kirefu sana kila Simba wakimsogelea Nyati anawakurupusha kwa muda mrefu sana ikabidi Simba watulie hadi giza lilipoingia ndio wakafanikiwa kwakuwa Nyati haoni vizuri usiku.Pamoja na kutokuona vizuri usiku shughuli ilikuwa kubwa baadhi ya Simba walipata majeraha ya kutosha kumbuka walikuwa simba saba !.

Huyo bila shaka alikuwa simba mzee........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom