Huniridhishi mume wangu

Huniridhishi mume wangu

Story nyingine japo ni zakutungwa ila hata huwezi kuzifikirisha.

HAMNA WATU WENYE WIVU KWA MADEMU ZAO KAMA
[emoji117]Wenye mashine ndogo
[emoji117]Wenye matatizo ya nguvu zakiume .

Nakwakulijua hilo. Hawa ndio aina ya wanaume Wanaojali sana kiasi cha kupitiliza, kama nikuhonga wanahonga sanaaa, Ili mradi tu Huduma za kuhonga zifiche madhaifu yao.

Sasa Mtu ahudumie demu wakeeeee hata km hamrishishi alafu Achungulie ,akute analiwa, then anajiuliza maswali,alafu anarudinkulala. Then anaomba chupi. Sijui ainuse haaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]....... Hawa wakimfuma demu huwa ni vita juu ya vita!!
Yale unayohisi hayawezekani ndo yanawezekana kwa mwenye kutafakari.
 
Aaahhh sawa mkuu wacha wenye kutafakari muendelee kutafakar nakuyafanya yaonekane yanawezekana[emoji119]
Alijiuliza ..
Niachane na la-azizi wangu? ....jibu kalipata
Nimtimue dereve? .... jibu kalipata
Alipofanya mlinganyo ndo akaibuka na majibu yanayokutatanisha. ... hata huyu aliyekufuata PM hata mimi tayari natafakari la kufanya ...
Niachane na JF?
NIachane naye?
Majibu nikipata ... utaona mkuu
 
Back
Top Bottom