Wanabodi na vijana wenzangu.
Kama huna ajira fanya yafuatayo na uchukue hatua;
1. Tafuta Tsh 200,000 tu.
2. Tafuta eneo la kuchoma viazi/chips hasa karibu na vyuo, msongamano wa watu.
3. Fungua hii biashara ya kuuza chips usione aibu wala kuogopa.
4. Jipe mwaka mmoja tu. Utakuja kuniambia.
Kama hiyo haitoshi, kuna fursa ya kuuza Juice ya Miwa. Nenda SIDO chukua mashine ya kusaga juisi ya miwa tafuta eneo lenye mkusanyiko wa watu nunua grass zako 10 na Ki-meza.
Ukithubutu Tanzania hakuna umaskini, ukiona unaogopa tafuta kijana mpe mtaji msimamie tafuta mkopo wa Tsh 400,000 kwa biashara ya kuuza JUISI YA MIWA. Ni biashara ambayo haina usumbufu wa TIN NO, LESENI YA BIASHARA, WALA KODI YA FREMU.
Mimi binafsi nimeajiri vijana wanachoma viazi/chips na kunipa 20000 kwa siku kama maeneo matano. Mtaji nilianza nao kwa kila kijana 150,000 kodi ya kieneo kwa madalali 1000 kwa siku. Kabati nilitengeneza Tsh 200,000. Jiko 40,000 Ndo nimewagawa maeneo matano. Kwa siku nakusanya 100,000.
Hata kama umeajiriwa hii ndo fursa iliyopo kwa sasa hapa mjini, achana na biashara kubwa kubwa.
Kama huna ajira fanya yafuatayo na uchukue hatua;
1. Tafuta Tsh 200,000 tu.
2. Tafuta eneo la kuchoma viazi/chips hasa karibu na vyuo, msongamano wa watu.
3. Fungua hii biashara ya kuuza chips usione aibu wala kuogopa.
4. Jipe mwaka mmoja tu. Utakuja kuniambia.
Kama hiyo haitoshi, kuna fursa ya kuuza Juice ya Miwa. Nenda SIDO chukua mashine ya kusaga juisi ya miwa tafuta eneo lenye mkusanyiko wa watu nunua grass zako 10 na Ki-meza.
Ukithubutu Tanzania hakuna umaskini, ukiona unaogopa tafuta kijana mpe mtaji msimamie tafuta mkopo wa Tsh 400,000 kwa biashara ya kuuza JUISI YA MIWA. Ni biashara ambayo haina usumbufu wa TIN NO, LESENI YA BIASHARA, WALA KODI YA FREMU.
Mimi binafsi nimeajiri vijana wanachoma viazi/chips na kunipa 20000 kwa siku kama maeneo matano. Mtaji nilianza nao kwa kila kijana 150,000 kodi ya kieneo kwa madalali 1000 kwa siku. Kabati nilitengeneza Tsh 200,000. Jiko 40,000 Ndo nimewagawa maeneo matano. Kwa siku nakusanya 100,000.
Hata kama umeajiriwa hii ndo fursa iliyopo kwa sasa hapa mjini, achana na biashara kubwa kubwa.