Haruna Suluo
Member
- Nov 12, 2018
- 15
- 1
Labda MTU aanze na biashara ya chipsi na mishikaki hapo kidogo fresh sana
Dah halafu gharama ya mashine inaanzia milioni moja.Biashara ya juice ya miwa IPO poa sana ila ukipata mtaji tu wa machine mambo yote yanakua sawa Mimi sina mtaji wa mashine ila ningepata ningechangamkia hiyo fursa maana maeneo ni mengi sana ya kufanya hiyo biashara
Yap ila ukitaka kitu cha kudumu kabisa isikusumbue nmefatilia ni 2 m. Hiyo ya 1m ni fake kamandaDah halafu gharama ya mashine inaanzia milioni moja.
Kama una 2M ifanye tu ni biashara poa.Yap ila ukitaka kitu cha kudumu kabisa isikusumbue nmefatilia ni 2 m. Hiyo ya 1m ni fake kamanda
Hizo za 2m ndo zinapatikana wapi mkuu?Kama una 2M ifanye tu ni biashara poa.
Huyu alikuwa na vifaa vyake ndo mana mtaji wa viazi,mafuta pamoja na vitu vidogo vidogo vikaleta initial cost ya 200k, ni biashara nzuri unaweza kupata 30k as profitMkuu samahani hebu nipe mchanganuo wa kuanzisha banda la chips kwa 200,000 mana kwa haraka haraka naona kama initial capital inazidi hiyo ulioitaja we mwenzetu Ulianzaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikua 2015 leo 2019 ooohh lord hata mtoto amekua kila kitu kimebadilikaWazo zuri sana, ila kwa laki 2 utawezaje Fanya hii biashara? ulipe kodi na vifaa ununue?? Kama ni mzoefu Tafadhali tupe mchanganuo halisi kuweza kuendesha hii business
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh kumbe ipo outdated. Sikuangalia ni ya liniilikua 2015 leo 2019 ooohh lord hata mtoto amekua kila kitu kimebadilika
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa mawazo na ushauri wako,ntaufanyia kazi mkuuWanabodi na vijana wenzangu.
Kama huna ajira fanya yafuatayo na uchukue hatua;
1. Tafuta Tsh 200,000 tu.
2. Tafuta eneo la kuchoma viazi/chips hasa karibu na vyuo, msongamano wa watu.
3. Fungua hii biashara ya kuuza chips usione aibu wala kuogopa.
4. Jipe mwaka mmoja tu. Utakuja kuniambia.
Kama hiyo haitoshi, kuna fursa ya kuuza Juice ya Miwa. Nenda SIDO chukua mashine ya kusaga juisi ya miwa tafuta eneo lenye mkusanyiko wa watu nunua grass zako 10 na Ki-meza.
Ukithubutu Tanzania hakuna umaskini, ukiona unaogopa tafuta kijana mpe mtaji msimamie tafuta mkopo wa Tsh 400,000 kwa biashara ya kuuza JUISI YA MIWA. Ni biashara ambayo haina usumbufu wa TIN NO, LESENI YA BIASHARA, WALA KODI YA FREMU.
Mimi binafsi nimeajiri vijana wanachoma viazi/chips na kunipa 20000 kwa siku kama maeneo matano. Mtaji nilianza nao kwa kila kijana 150,000 kodi ya kieneo kwa madalali 1000 kwa siku. Kabati nilitengeneza Tsh 200,000. Jiko 40,000 Ndo nimewagawa maeneo matano. Kwa siku nakusanya 100,000.
Hata kama umeajiriwa hii ndo fursa iliyopo kwa sasa hapa mjini, achana na biashara kubwa kubwa.
Si kwelNiliambiwa mashine ya kukamulia juisi ya muwa ni sh laki 8 hadi 1.2 M. Kwa mtaji huo inakuwa ngumu kidogo. Zile mashine SIDO ni shillingi ngapi?
Uzi wa 2015.. yawezakana miaka ile zilitoshaMkuu samahani hebu nipe mchanganuo wa kuanzisha banda la chips kwa 200,000 mana kwa haraka haraka naona kama initial capital inazidi hiyo ulioitaja we mwenzetu Ulianzaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bei ni pungufu tuambizane wapi zinapatikana hizo mashine.Si kwel
Labda zile zinakuwa full na kibanda kina mataili chini
Hili wazo lililetwa hapa 2015, leo tuko 2019 hivyo lazima kuna vitu vimebadilika hadi sasa.Wazo zuri sana, ila kwa laki 2 utawezaje Fanya hii biashara? ulipe kodi na vifaa ununue?? Kama ni mzoefu Tafadhali tupe mchanganuo halisi kuweza kuendesha hii business
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nipe no nikutafute unipe mwongozoWanabodi na vijana wenzangu.
Kama huna ajira fanya yafuatayo na uchukue hatua;
1. Tafuta Tsh 200,000 tu.
2. Tafuta eneo la kuchoma viazi/chips hasa karibu na vyuo, msongamano wa watu.
3. Fungua hii biashara ya kuuza chips usione aibu wala kuogopa.
4. Jipe mwaka mmoja tu. Utakuja kuniambia.
Kama hiyo haitoshi, kuna fursa ya kuuza Juice ya Miwa. Nenda SIDO chukua mashine ya kusaga juisi ya miwa tafuta eneo lenye mkusanyiko wa watu nunua grass zako 10 na Ki-meza.
Ukithubutu Tanzania hakuna umaskini, ukiona unaogopa tafuta kijana mpe mtaji msimamie tafuta mkopo wa Tsh 400,000 kwa biashara ya kuuza JUISI YA MIWA. Ni biashara ambayo haina usumbufu wa TIN NO, LESENI YA BIASHARA, WALA KODI YA FREMU.
Mimi binafsi nimeajiri vijana wanachoma viazi/chips na kunipa 20000 kwa siku kama maeneo matano. Mtaji nilianza nao kwa kila kijana 150,000 kodi ya kieneo kwa madalali 1000 kwa siku. Kabati nilitengeneza Tsh 200,000. Jiko 40,000 Ndo nimewagawa maeneo matano. Kwa siku nakusanya 100,000.
Hata kama umeajiriwa hii ndo fursa iliyopo kwa sasa hapa mjini, achana na biashara kubwa kubwa.
Mashine ya kukamulia juisi ya miwa SIDO inauzwa bei gani mkuu?Wanabodi na vijana wenzangu.
Kama huna ajira fanya yafuatayo na uchukue hatua;
1. Tafuta Tsh 200,000 tu.
2. Tafuta eneo la kuchoma viazi/chips hasa karibu na vyuo, msongamano wa watu.
3. Fungua hii biashara ya kuuza chips usione aibu wala kuogopa.
4. Jipe mwaka mmoja tu. Utakuja kuniambia.
Kama hiyo haitoshi, kuna fursa ya kuuza Juice ya Miwa. Nenda SIDO chukua mashine ya kusaga juisi ya miwa tafuta eneo lenye mkusanyiko wa watu nunua grass zako 10 na Ki-meza.
Ukithubutu Tanzania hakuna umaskini, ukiona unaogopa tafuta kijana mpe mtaji msimamie tafuta mkopo wa Tsh 400,000 kwa biashara ya kuuza JUISI YA MIWA. Ni biashara ambayo haina usumbufu wa TIN NO, LESENI YA BIASHARA, WALA KODI YA FREMU.
Mimi binafsi nimeajiri vijana wanachoma viazi/chips na kunipa 20000 kwa siku kama maeneo matano. Mtaji nilianza nao kwa kila kijana 150,000 kodi ya kieneo kwa madalali 1000 kwa siku. Kabati nilitengeneza Tsh 200,000. Jiko 40,000 Ndo nimewagawa maeneo matano. Kwa siku nakusanya 100,000.
Hata kama umeajiriwa hii ndo fursa iliyopo kwa sasa hapa mjini, achana na biashara kubwa kubwa.