olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,574
kuna jamaa mmoja kila siku anapita na gari yaje bank usiku then anapiga honi mlinzi akitoka jamaa anaondoka
baada ya kupita muda yule mlinzi akakasirika maana jamaa anamsumbua.. siku moja akamuwekea mtego mpaka
akamkamata.
mlinzi: kwa nini kila siku unapita hapa unanipigia honi lakini nikitoka unaondoka
jamaa: huku bank nimeweka pesa zangu kwa hiyo nakuja kuangalia kama umelala sizije zikaibiwa
baada ya kupita muda yule mlinzi akakasirika maana jamaa anamsumbua.. siku moja akamuwekea mtego mpaka
akamkamata.
mlinzi: kwa nini kila siku unapita hapa unanipigia honi lakini nikitoka unaondoka
jamaa: huku bank nimeweka pesa zangu kwa hiyo nakuja kuangalia kama umelala sizije zikaibiwa