Humu JF kuna watu mnajuana eeeh?

Hahahahahaaa jf kuna watu wanajua misimamo yao nilikua naona zile nyuz za kidin akina eshmael kiranga free ideas eiyer na wengine weng wanajuana kulingana na misimamo yao
 
Mi nafahamiana na members zaidi ya 70. Wengi kati yao ni members wa Dar na Arusha.

Nimeshaonana nao na sijawahi kujuta kufahamiana nao. Zaidi ya nusu ya hao wameshafika mpaka nyumbani kwangu, nimeshashirikiana nao katika matukio ya kijamii kama harusi na misiba.

Kuna members kama 30 nilionana na kufahamiana nao mara moja tu kwenye JF get together party...

kwahiyo mkiona naitwa babu mjue ni heshima ninayostahili...
Si useme tu wengine unaishi nao nyumba moja siku moja moja.
 
Kuna ninao wafahamu humu ila wao hawajui kama nawafahamu.


Ila sijawahi onana na mtu mwingine humu na sitegemei hilo.
 
Humu wamejaa watu wasiojulikana na wengi wanajuana.Pengine hata waliommiminia risasi Lissu wamo humu wanapeana ma like tu kwa kuchangia ujinga wanaoupenda!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom