dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Ila kwann wasimpe usajili lowasa?
Nimeribu kumsikiliza nikamtoa sijamuelewa kabisa. Yani leo nimemvua nyota zote.
Huyu dogo sijui kala maharage ya wapi tena.....
Eti Lipumba na Dr. Slaa wasigombee ili kuleta sura ya Ukawa.
Inaonekana huyu Dogo wanamgombea wao hivyo anataka midebwedo kama kina Magufuli ili wapite kilaini.
Tatizo lenu ndio hilo,hampendi kushauriwa.kila mtu anayejua sayansi ya siasa atakwambia laivu kwamba kama UKAWA wanataka kubadili upepo wa kisiasa uliotengenezwa na kuchaguliwa kwa Dr Magufuli,basi hawana budi kumchagua mtu mpya lakini anayekubalika.mtu huyo si mwingine zaidi ya Tundu Lissu.nasubiri kuona upeo wa kufikiri wa UKAWA wakiongozwa na CHADEMA ulivyo kesho,wakimchagua Dr Slaa basi watakuwa wamemhakikishia Dr Magufuli ushindi wa kishindo kama ule wa Kikwete wa mwaka 2005.
Hizi ndizo sababu zitakazomfanya Dr Slaa ashindwe vibaya kwenye urais dhidi ya Dr Magufuli:
*Kura za Wakristu-Dr Magufuli anatarajiwa kuzibeba kura nyingi kidogo za Wakristu.Dr Slaa atazipata za Wakristu lakini hazitakuwa nyingi kama zile alizozipata mwaka 2010
*Kura za Waislamu-Dr Magufuli atazipata kura nyingi sana za Waislamu.Dr Slaa atapata kura chache sana.
*Kura za vijana-Hapa napo Dr Magufuli anatarajiwa kupata kura nyingi kidogo dhidi ya Dr Slaa
*Kura za Wanawake-Huo ndio mtaji mkubwa wa CCM
*Kura za wazee.-Ni mtaji mwingine wa CCM
Endapo atateuliwa Mwanasheria Tundu Lissu
*Kura za Waislamu-Hapa Tundu Lissu anaweza kumzidi Dr Magufuli kwenye kura za Waislamu
*Kura za Wanawake-Tundu Lissu anaweza kutoa ushindani mkali kwenye hili kundi la wapiga kura.Akina mama wanapenda wagombea vijana wenye mwonekano mzuri kama Tundu Lissu.
*Kura za vijana-Hapa Tundu Lissu ndipo kwenye eneo lake la kujidai,atazoa kura nyingi sana za vijana kwasababu yeye ni mwenzao na kingine vijana wanapenda toleo jipya,na Tundu Lissu ndio hilo toleo jipya.
*Kura za Wakristu-Tundu Lissu anaweza kuchuana vikali na Dr Magufuli kwenye kundi hili.
Haya ndiyo maoni yangu.
Tatizo lenu ndio hilo,hampendi kushauriwa.kila mtu anayejua sayansi ya siasa atakwambia laivu kwamba kama UKAWA wanataka kubadili upepo wa kisiasa uliotengenezwa na kuchaguliwa kwa Dr Magufuli,basi hawana budi kumchagua mtu mpya lakini anayekubalika.mtu huyo si mwingine zaidi ya Tundu Lissu.nasubiri kuona upeo wa kufikiri wa UKAWA wakiongozwa na CHADEMA ulivyo kesho,wakimchagua Dr Slaa basi watakuwa wamemhakikishia Dr Magufuli ushindi wa kishindo kama ule wa Kikwete wa mwaka 2005.
Hizi ndizo sababu zitakazomfanya Dr Slaa ashindwe vibaya kwenye urais dhidi ya Dr Magufuli:
*Kura za Wakristu-Dr Magufuli anatarajiwa kuzibeba kura nyingi kidogo za Wakristu.Dr Slaa atazipata za Wakristu lakini hazitakuwa nyingi kama zile alizozipata mwaka 2010
*Kura za Waislamu-Dr Magufuli atazipata kura nyingi sana za Waislamu.Dr Slaa atapata kura chache sana.
*Kura za vijana-Hapa napo Dr Magufuli anatarajiwa kupata kura nyingi kidogo dhidi ya Dr Slaa
*Kura za Wanawake-Huo ndio mtaji mkubwa wa CCM
*Kura za wazee.-Ni mtaji mwingine wa CCM
Endapo atateuliwa Mwanasheria Tundu Lissu
*Kura za Waislamu-Hapa Tundu Lissu anaweza kumzidi Dr Magufuli kwenye kura za Waislamu
*Kura za Wanawake-Tundu Lissu anaweza kutoa ushindani mkali kwenye hili kundi la wapiga kura.Akina mama wanapenda wagombea vijana wenye mwonekano mzuri kama Tundu Lissu.
*Kura za vijana-Hapa Tundu Lissu ndipo kwenye eneo lake la kujidai,atazoa kura nyingi sana za vijana kwasababu yeye ni mwenzao na kingine vijana wanapenda toleo jipya,na Tundu Lissu ndio hilo toleo jipya.
*Kura za Wakristu-Tundu Lissu anaweza kuchuana vikali na Dr Magufuli kwenye kundi hili.
Haya ndiyo maoni yangu.
Unasema Tundu Lissu handsome boy sio!!!??
Wewe ni tapeli tu na dalali wa CCM. Acha kuwadanganya watu. Wewe ni CCM damudamu na records zako tunazo hapa JF. Sasa wewe CCM unawapangiaje UKAWA mgombea wa Urais kama sio uhuni huo? Mbona nyinyi UKAWA hawajawachagulia mgombea. Nyinyi muache wachague yeyote wanayeona anafaa na sio kuingiza propaganda na unafiki. Buhari sasa hivi ni Rais wa Nigeria. Unajua amegombea mara ngapi? Mbona Kikwete wakati anagombea mwaka 2010 nyinyi mlimuacha agombee tena mara ya pili? Kwa nini msingeweka mgombea mpya ili apambane na Dr.Slaa ambaye alikuwa anagombea kwa mara ya kwanza?