Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,822
- 3,832
Namwona mwalimu Kaijage yule swaiba wa ZZK amepiga simu na kumpongoza Polepole
Raisi anatakiwa awe mtu wa kupanga mambo na aijue nchi vizuri na nini kinachoitajika. Hivyo sio vizuri Raisi awe kama askari wa mwamvuli, maana askari wa mwamvuli amezoeya kutumwa na kuingia fild kupambana na Makufuli ni kama Askari mwamvuli.
By: Polepole
mkuu huyu jamaa anajichanganya wakati wa mdahalo wa walioba na Butiku, akasema yeye anamtaka mtu ambaye hana kashifa wala hasiye penda rushwa na mchapa kazi ,na akasema kama ccm haitapitisha mtu anayekubalika atawambia watanzania wasipigie ccm kura leo hii anakuja na kuponda magufuli haeleweki,
Anajikanyaga mwenyewe,huyuvhuyu Magufuli alikuwepo kwenye bunge la katiba hakufanya kitu,baya zaidi makamu wake alikuwa mwenyekiti msaidizi wa bunge la katiba...anadhani anaweza kumshusha kiasi hicho cha kutengua hatua iliyofikiwa?
hacha kukurupuka ulimuona kwekye bunge la katiba mavuvuzera mnashida,nendeni mkamwambie mzee wa kungangania apishe wengine,
Pole pole amesahau mwalimu alisema mpitisheni mtu anayekubalika na wananchi,na mtu anayekubalika na wananchi wengi ni dr slaa
Wabunge wote wa JMT walikuwa wajumbe wa bunge la katiba..sasa sijui anayekurupuka ni mimi au wewe..
Kakojoe ulalee,shule zimefunguliwa.