Huyu dogo anajishushia hadhi siku baada ya siku.
Ndio maana kimeanza kuzeeka, ukiangalia sura na umri wake haviendani kabisa. Kweli njaa mbaya
Leo kwenye kipindi cha tv madamotto live on channel ten live kuelekea uchaguzi mkuu 2015 saa 10:10pm
huyu pole pole kaanza kutumika vibaya
huyu dogo amezidi, amemwacha kumponda makufuli sasa ameiingilia ukawa.
Anaonekana kama anataka kuiponda na ukaw tena.
Sasa sijui anataka nani agombee! Huenda ile tume ya katiba imejigeuza kuwa chama cha siasa kisirisiri na sasa huenda huyu dogo akataka warioba agombee uraisi