mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,456
- 36,471
[emoji38][emoji38][emoji38] jibu zuri sana
Kuna watu wanaweza sababisha wenyewe useme siri zao hadharani
😎😎
[emoji38][emoji38][emoji38] jibu zuri sana
Mbona nchi za mashariki ya kati zinaongozwa na waislam miaka yote lakini hakuna kitu.Ni kuuana tu.Lakini nchi za ulaya zinaongozwa na wakristu ziko vizuri.Naendelea kutoa tahadhari,Kila siku nawaambia Nchi ikiongozwa na Mkristo mjiandae Kwa maumivu maana..
Sijui Huwa ni Kwa sababu ya dini au inatokea tuu watu wa dini Ile kuhadaa watu Kwa propaganda,kufoka foka na wakaaminika mwisho wa siku Huwa ni disaster harafu anakuja Rais wa dini ya upande wa pili kufukia mashimo na uharibifu kama tuu anavyofanya Rais Samia Sasa baada ya uharibifu wa Mwendazake..
Wajamaa ni watu hatari sana sijajua watu wanawezaje kuwaaminisha ilhali mifano ya uharibifu waliofanya tunayo eg Nyerere, Magufuli.
Kama Nchi gani hiyo ambayo hamna kitu kiasi Cha kulinganisha na Tanzania?Mbona nchi za mashariki ya kati zinaongozwa na waislam miaka yote lakini hakuna kitu.Ni kuuana tu.Lakini nchi za ulaya zinaongozwa na wakristu ziko vizuri.