Humphrey Polepole ni Mkatoliki mfia dini

Humphrey Polepole ni Mkatoliki mfia dini

Mpumbavu sana kama huyu pamoja na kusoma upupu mwingi lakini hajaaliemika
Siamini kuwa mbele ya mahojiano na chombo cha habari anawaambia kuwa huwa anarogwa na uchawi upo ?
 
Tujikumbushe Balozi aliyejiuzulu ni Mkatoliki mfia dini. Huenda anatumika kupenyeza ajenda
Si kweli ni mkatoliki. Fanya home work yako vizuri.

Kwanini kila hoja inapoletwa inaelekezwa kwenye dini? Waswahili wanasema, lakuvunda halina ubani. Uongozi unata mtu mwenye uwezo. Tusifikiri individual failures zitaleta taharuki za udini.
Mtu akifeli, amefeli. Wajinga wanatetea kwa hoja muflisi za udini
 
Back
Top Bottom