Humphrey Polepole kuwa Balozi ni promotion, lakini...

POLEPOLE KUWA BALOZI NI PROMOTION LAKINI........

Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mhe Rais amemteua Mhe Humphrey Polepole kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Ikumbukwe kuwa Mhe Polepole Kwa siku za hivi karibuni alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya sita Kwa alichokiita shule ya uongozi.

Baada ya uteuzi wake kuna mijada inakuja kuwa je Mhe Polepole amepata Demotion au Promotion? Jibu ni Promotion.

Hadhi ya Ubalozi ni kubwa kuliko Ubunge. Ubalozi ni nchi ndani ya nchi nyingine. Hivyo unapokuwa Balozi ni sawa na kuwa wewe ni Mkuu wa nchi kwenye nchi nyingine. Kuwa Balozi kunakupa immunity/ Kinga nyingi kuliko Ubunge. Balozi hata begi lake tu haliruhusiwi kuguswa na mtu yeyote. Kwa tafsiri isiyo rasmi Polepole anaenda kuwa Rais wa Tanzania ndani ya Malawi. Maswala yote yanayohusiana na Diplomasia nchini Malawi yeye ndiye atakuwa kilanja mkuu.

Lakini.......Mhe Polepole amezoea kuongea. Kama atafika Malawi atajisahau akaanza kuongea aliyokuwa anaongea huku basi nafasi yake inaweza kuwa DEMOTION. Inaweza kuwa demotion Kwa kuwa anaweza kuondolewa. Lakini kama atakuwa mtiifu basi hii ni Promotion.

Tafakari
"When you cut out the tongue of a man, you’re not convincing the world he’s a liar. You’re only telling the world you fear of what he might say".
 
POLEPOLE KUWA BALOZI NI PROMOTION LAKINI........

Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mhe Rais amemteua Mhe Humphrey Polepole kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Ikumbukwe kuwa Mhe Polepole Kwa siku za hivi karibuni alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya sita Kwa alichokiita shule ya uongozi.

Baada ya uteuzi wake kuna mijada inakuja kuwa je Mhe Polepole amepata Demotion au Promotion? Jibu ni Promotion.

Hadhi ya Ubalozi ni kubwa kuliko Ubunge. Ubalozi ni nchi ndani ya nchi nyingine. Hivyo unapokuwa Balozi ni sawa na kuwa wewe ni Mkuu wa nchi kwenye nchi nyingine. Kuwa Balozi kunakupa immunity/ Kinga nyingi kuliko Ubunge. Balozi hata begi lake tu haliruhusiwi kuguswa na mtu yeyote. Kwa tafsiri isiyo rasmi Polepole anaenda kuwa Rais wa Tanzania ndani ya Malawi. Maswala yote yanayohusiana na Diplomasia nchini Malawi yeye ndiye atakuwa kilanja mkuu.

Lakini.......Mhe Polepole amezoea kuongea. Kama atafika Malawi atajisahau akaanza kuongea aliyokuwa anaongea huku basi nafasi yake inaweza kuwa DEMOTION. Inaweza kuwa demotion Kwa kuwa anaweza kuondolewa. Lakini kama atakuwa mtiifu basi hii ni Promotion.

Tafakari
Tafsiri ya Ubalozi kwa Tz Ni demotion huu ndio ukweli kwa mujibu wa mfumo wetu yaani hapo kapotezwa
 
POLEPOLE KUWA BALOZI NI PROMOTION LAKINI........

Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mhe Rais amemteua Mhe Humphrey Polepole kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Ikumbukwe kuwa Mhe Polepole Kwa siku za hivi karibuni alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya sita Kwa alichokiita shule ya uongozi.

Baada ya uteuzi wake kuna mijada inakuja kuwa je Mhe Polepole amepata Demotion au Promotion? Jibu ni Promotion.

Hadhi ya Ubalozi ni kubwa kuliko Ubunge. Ubalozi ni nchi ndani ya nchi nyingine. Hivyo unapokuwa Balozi ni sawa na kuwa wewe ni Mkuu wa nchi kwenye nchi nyingine. Kuwa Balozi kunakupa immunity/ Kinga nyingi kuliko Ubunge. Balozi hata begi lake tu haliruhusiwi kuguswa na mtu yeyote. Kwa tafsiri isiyo rasmi Polepole anaenda kuwa Rais wa Tanzania ndani ya Malawi. Maswala yote yanayohusiana na Diplomasia nchini Malawi yeye ndiye atakuwa kilanja mkuu.

Lakini.......Mhe Polepole amezoea kuongea. Kama atafika Malawi atajisahau akaanza kuongea aliyokuwa anaongea huku basi nafasi yake inaweza kuwa DEMOTION. Inaweza kuwa demotion Kwa kuwa anaweza kuondolewa. Lakini kama atakuwa mtiifu basi hii ni Promotion.

Tafakari
Kama ubalozi ni promotion kwanini wana acha kazi za ubalozi tena nchi za Ulaya wanakuja kugombea ubunge? ubunge ni mgodi unaotembea, heshima mjini ni pesa na siyo sifa
 
POLEPOLE KUWA BALOZI NI PROMOTION LAKINI........

Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mhe Rais amemteua Mhe Humphrey Polepole kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Ikumbukwe kuwa Mhe Polepole Kwa siku za hivi karibuni alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya sita Kwa alichokiita shule ya uongozi.

Baada ya uteuzi wake kuna mijada inakuja kuwa je Mhe Polepole amepata Demotion au Promotion? Jibu ni Promotion.

Hadhi ya Ubalozi ni kubwa kuliko Ubunge. Ubalozi ni nchi ndani ya nchi nyingine. Hivyo unapokuwa Balozi ni sawa na kuwa wewe ni Mkuu wa nchi kwenye nchi nyingine. Kuwa Balozi kunakupa immunity/ Kinga nyingi kuliko Ubunge. Balozi hata begi lake tu haliruhusiwi kuguswa na mtu yeyote. Kwa tafsiri isiyo rasmi Polepole anaenda kuwa Rais wa Tanzania ndani ya Malawi. Maswala yote yanayohusiana na Diplomasia nchini Malawi yeye ndiye atakuwa kilanja mkuu.

Lakini.......Mhe Polepole amezoea kuongea. Kama atafika Malawi atajisahau akaanza kuongea aliyokuwa anaongea huku basi nafasi yake inaweza kuwa DEMOTION. Inaweza kuwa demotion Kwa kuwa anaweza kuondolewa. Lakini kama atakuwa mtiifu basi hii ni Promotion.

Tafakari
Ni mjinga tu anayeweza Amin kuwa eti pole pole amepata promotion, for.
POLEPOLE KUWA BALOZI NI PROMOTION LAKINI........

Na Elius Ndabila
0768239284

Leo Mhe Rais amemteua Mhe Humphrey Polepole kwenda kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi. Ikumbukwe kuwa Mhe Polepole Kwa siku za hivi karibuni alikuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya awamu ya sita Kwa alichokiita shule ya uongozi.

Baada ya uteuzi wake kuna mijada inakuja kuwa je Mhe Polepole amepata Demotion au Promotion? Jibu ni Promotion.

Hadhi ya Ubalozi ni kubwa kuliko Ubunge. Ubalozi ni nchi ndani ya nchi nyingine. Hivyo unapokuwa Balozi ni sawa na kuwa wewe ni Mkuu wa nchi kwenye nchi nyingine. Kuwa Balozi kunakupa immunity/ Kinga nyingi kuliko Ubunge. Balozi hata begi lake tu haliruhusiwi kuguswa na mtu yeyote. Kwa tafsiri isiyo rasmi Polepole anaenda kuwa Rais wa Tanzania ndani ya Malawi. Maswala yote yanayohusiana na Diplomasia nchini Malawi yeye ndiye atakuwa kilanja mkuu.

Lakini.......Mhe Polepole amezoea kuongea. Kama atafika Malawi atajisahau akaanza kuongea aliyokuwa anaongea huku basi nafasi yake inaweza kuwa DEMOTION. Inaweza kuwa demotion Kwa kuwa anaweza kuondolewa. Lakini kama atakuwa mtiifu basi hii ni Promotion.

Tafakari
Ni mjinga pekee anayeweza Sema pole pole amepata promotion. Mabalozi wangapi wanatoka kwenye baloz kuja kugombea ubunnge kipindi Cha uchaguz. Hapa kisiasa ni demotion tu.

Sema ni vile bora nusu shar kuliko shar kamili
 
Mama kaamua kumtoa kwenye mfumo wa siasa maana atakuja kumhalibia kwa kuwa anapiga serikali yake.
Kwanini polepole anatazamwa kama threat (tishio) kwny serikali ya Samia..? mtu hana dola, hana ukwasi, hana cheo, kwanza hata ushawishi wake mbona ni wa kawaida sana..Kundi linaloshinikiza polepole atelekezwe ndio haohao wanaompa umaarufu bila wao kujua..the guy is terribly growing famous!
 
Back
Top Bottom