Humphrey Polepole: Kazi ya shule ya uongozi itawafurahisha wenye mamlaka, ukiona unataka kuruka na mimi kwenye mtandao ujue wewe sio kiongozi

Ameshaanza kuchanganya Dini na Siasa naona hapao anapiga siasa anapiga na Mathayo 🤣🤣🤣
Alikuwa na Biblia na Quran kabisa
IMG_20211011_073656.jpg
 
Haka kajamaa kanatumiwa ni timu fulani, katageuziwa kibao hakatoamini. TII MAMLAKA! hususani kama wewe ni CCM kwakua wote ni waovu na wezi.
Mnapata wapi ujasiri wakumuona polepole ni mbaya kuliko nyie mnaosema hichi leo kesho mkageuka mkasema tofauti na jana? Kuna watu mabingwa wa kubadilisha ndimi kuzidi Chadema?
 
Kila maamuzi na matokeo yake, matokeo humnufaisha au kumuadibisha mtoa maamuzi.

Kila la heri polepole.
 
Slow Slow ukimwangalia kwa sasa unaona kabisa amechanganyikiwa hayuko timamu huyo.
 
Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Humphrey Polepole amesema hayo kupitia kipindi cha Shule ya Uongozi ambapo alisema ni kipindi kinachofanya kazi ya kusema ukweli, jambo ambalo linaendana na kauli maarufu ya Chama Cha Mapinduzi inayosema "Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko".

Amesema wale watakaotaka kuruka na yeye kwenye mtandao wajue kwamba sio viongozi na wala hawapo katika mamlaka, kwa sababu yeye anafanya kazi nzuri ya kusema ukweli.

View attachment 1970501
Unaijua VIEITE wewe ?
 
Hii shule ya uongozi ina kibali kufanya kazi nchini? inafadhiliwa na nani maana huyu mzee kazidi kuchonga mno.
 
Haka kajamaa kana Roho ya Kichawi,unakumbuka kalipokuwa kanajifanya kupiga magoti kwenye kampeni za 2020 mbele ya mwendazake?

Halafu nyuma ya pazia kanamshauri aibe Kura, Bogus kabisa.

Ati... "iwapo Uchaguzi utakuwa huru na wa haki, basi CCM ijiandae kukabizi Dola kwa CHADEMA" ..kalinukuliwa hako Kachawi.
 
Back
Top Bottom