🤣🤣🤣nilijua masiharaAlikuwa na Biblia na Quran kabisaView attachment 1970749
Hatari snPolepole hana tofauti na gubu la wifi pale kaka yao amekamatika kwa mkewe
Mnapata wapi ujasiri wakumuona polepole ni mbaya kuliko nyie mnaosema hichi leo kesho mkageuka mkasema tofauti na jana? Kuna watu mabingwa wa kubadilisha ndimi kuzidi Chadema?Haka kajamaa kanatumiwa ni timu fulani, katageuziwa kibao hakatoamini. TII MAMLAKA! hususani kama wewe ni CCM kwakua wote ni waovu na wezi.
😂😂😂😂😂😂😂 afadhali nimecheka nimepunguza stressChakubanga ktk ubora wake
Labda Rais wa family yenuRais ajaye msiniuluze mwaka!
Ila ndo hivyo.
Kipindi hicho alikuwa akisifia V8 za chamaKipindi hiki ungekiendesha enzi zile tungekuelewa, ila kwasasa hapana...
Alikuwa na Biblia na Quran kabisaView attachment 1970749
afadhali nimecheka nimepunguza stress
Unaijua VIEITE wewe ?Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Humphrey Polepole amesema hayo kupitia kipindi cha Shule ya Uongozi ambapo alisema ni kipindi kinachofanya kazi ya kusema ukweli, jambo ambalo linaendana na kauli maarufu ya Chama Cha Mapinduzi inayosema "Nitasema kweli daima, fitina kwangu ni mwiko".
Amesema wale watakaotaka kuruka na yeye kwenye mtandao wajue kwamba sio viongozi na wala hawapo katika mamlaka, kwa sababu yeye anafanya kazi nzuri ya kusema ukweli.
View attachment 1970501