Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Kwa wafuatiliaji wa siasa za kiharakati nchini Tanzania hamtakuwa wageni kwa jina ili la Humphrey Polepole.Ni mmoja wa vijana waliopata umaarufu kupitia vyombo vya habari asa wakati wa mchakato wa katiba mpya na uchaguzi.
Wakati wa mchakato huo Polepole alionyesha msimamo wake kuhusu Demokrasia, Umuhimu wa katiba mpya na kupinga kuwepo nafasi za uteuzi kama wakuu wa mikoa na wilaya mpaka akadiriki kusema kua ata nae akipewa hiyo nafasi ataikataa.
Lakini pia Polepole huyu huyu alisema kuwa Uchaguzi wa 2015 ukiwa wa huru na haki basi CCM ijiandae kukabidhi Ikulu lkn ni leo hii ndiye msemaji wa chama ambacho alikisema kuwa kukabizi Ikulu kama Uchaguzi utakua huru na haki.Hii ina maanisha kua uchaguzi haukua huru na haki ndiyo maana ccm bado ipo Ikulu.
Lakini pia tukumbuke msimamo wake kuhusu nafasi za uteuzi hizi ambazo alisema akiteuliwa hawezi kukubali. Je, leo nani mkuu wa wilaya ya Ubungo kama sio yeye.
PolePole alipinga sana kelele kuhusu katiba mpya sasa anaongonzwa na mwenyekiti ambae haitaki katiba mpya maana amenukuliwa mara nyingi kuwa hakuwai kutaja katiba mpya kwenye kampeni ili hali kwenye Ilani ya CCM ukurasa wa 183 imetajwa kabisa.
Sasa tumtegemee kukiona Humphrey Polepole aliyezibwa mdomo baada ya kushiba na kuishinda njaa iliyokuwa inamtafuna kama maneno ya Mwenyekiti wetu CCM aliposema Mayala atakuwa na njaa maana ata jina linamanisha njaa huku usukumani.
Vijana wa kitanzania tumieni njaa zenu kuzitafuta na kuzisaka nafasi na sio kutumia akili na elimu zenu kutatua matatizo ya jamii au kuokosoa serikali.
Bravo Polepole
Wakati wa mchakato huo Polepole alionyesha msimamo wake kuhusu Demokrasia, Umuhimu wa katiba mpya na kupinga kuwepo nafasi za uteuzi kama wakuu wa mikoa na wilaya mpaka akadiriki kusema kua ata nae akipewa hiyo nafasi ataikataa.
Lakini pia Polepole huyu huyu alisema kuwa Uchaguzi wa 2015 ukiwa wa huru na haki basi CCM ijiandae kukabidhi Ikulu lkn ni leo hii ndiye msemaji wa chama ambacho alikisema kuwa kukabizi Ikulu kama Uchaguzi utakua huru na haki.Hii ina maanisha kua uchaguzi haukua huru na haki ndiyo maana ccm bado ipo Ikulu.
Lakini pia tukumbuke msimamo wake kuhusu nafasi za uteuzi hizi ambazo alisema akiteuliwa hawezi kukubali. Je, leo nani mkuu wa wilaya ya Ubungo kama sio yeye.
PolePole alipinga sana kelele kuhusu katiba mpya sasa anaongonzwa na mwenyekiti ambae haitaki katiba mpya maana amenukuliwa mara nyingi kuwa hakuwai kutaja katiba mpya kwenye kampeni ili hali kwenye Ilani ya CCM ukurasa wa 183 imetajwa kabisa.
Sasa tumtegemee kukiona Humphrey Polepole aliyezibwa mdomo baada ya kushiba na kuishinda njaa iliyokuwa inamtafuna kama maneno ya Mwenyekiti wetu CCM aliposema Mayala atakuwa na njaa maana ata jina linamanisha njaa huku usukumani.
Vijana wa kitanzania tumieni njaa zenu kuzitafuta na kuzisaka nafasi na sio kutumia akili na elimu zenu kutatua matatizo ya jamii au kuokosoa serikali.
Bravo Polepole