Humphrey Polepole azibwa mdomo na fikra

Lowasa alisema hawezi hama ccm, ile wale wasiomtaka ndi9 waondoke. Leo yuko CDM.

Chadema walimuita Lowasa Baba wa Mafisadi na fisadi number 1. Na leo n kiongozi wa chadema na mpeperusha bendera.

Mbowe mara ngapi kala matapishi yake na kubadilisha gear kwenye gari ya mkokoteni??????
Na ndio maana mtoa mada alimalizia kwa kusema "bravo" maanake hongera kwa kuchezesha fitna had kuula.
 
Kwa wafuatiliaji wa siasa za kiharakati nchini Tanzania hamtakuwa wageni kwa jina ili la Humphrey Polepole.Ni mmoja wa vijana waliopata umaarufu kupitia vyombo vya habari asa wakati wa mchakato wa katiba mpya na uchaguzi.

Wakati wa mchakato huo Polepole alionyesha msimamo wake kuhusu Demokrasia, Umuhimu wa katiba mpya na kupinga kuwepo nafasi za uteuzi kama wakuu wa mikoa na wilaya mpaka akadiriki kusema kua ata nae akipewa hiyo nafasi ataikataa.

Lakini pia Polepole huyu huyu alisema kuwa Uchaguzi wa 2015 ukiwa wa huru na haki basi CCM ijiandae kukabidhi Ikulu lkn ni leo hii ndiye msemaji wa chama ambacho alikisema kuwa kukabizi Ikulu kama Uchaguzi utakua huru na haki.Hii ina maanisha kua uchaguzi haukua huru na haki ndiyo maana ccm bado ipo Ikulu.

Lakini pia tukumbuke msimamo wake kuhusu nafasi za uteuzi hizi ambazo alisema akiteuliwa hawezi kukubali. Je, leo nani mkuu wa wilaya ya Ubungo kama sio yeye.

PolePole alipinga sana kelele kuhusu katiba mpya sasa anaongonzwa na mwenyekiti ambae haitaki katiba mpya maana amenukuliwa mara nyingi kuwa hakuwai kutaja katiba mpya kwenye kampeni ili hali kwenye Ilani ya CCM ukurasa wa 183 imetajwa kabisa.

Sasa tumtegemee kukiona Humphrey Polepole aliyezibwa mdomo baada ya kushiba na kuishinda njaa iliyokuwa inamtafuna kama maneno ya Mwenyekiti wetu CCM aliposema Mayala atakuwa na njaa maana ata jina linamanisha njaa huku usukumani.

Vijana wa kitanzania tumieni njaa zenu kuzitafuta na kuzisaka nafasi na sio kutumia akili na elimu zenu kutatua matatizo ya jamii au kuokosoa serikali.

Bravo Polepole
Tanzania hatuna desituri ya kula huku tunaongea hivyo Mr Polepole amepewa chakula hivyo inabidi akae kimya wakati akiendelea kula.
 
Hamuishiwi gubu!
hapana mkuu kuna tatizo kwenye misimamo ya watanzania wengi, polepole hakutakiwa kukubali uteuzi wa ukuu wa wilaya, bila shaka naye anaona aibu kama mnyika anavyo iona akisimama jukwaa moja na lowasa.
 
Wazungu walitudharau sana kiasi kwamba wangeweza tulazimisha siasa wanazozitaka wao tuzifuate...! Tunawashughulikia na wao bado hawataweza kushtuka.
 
WaTz njaa tu na watawala washagundua hilo ukileta njaa zako wanakulisha kipande cha keki angekuwa anajua ile kuchaguliwa kuwa dc ilikuwa dharau ya karne na inatoa picha wanasiasa bongo ni watu wa aina gani sema basi tu wanasiasa wetu tunawajuwa Wenyewe
 
Back
Top Bottom