Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,624
- 39,997
Kwani Polepole ni kijana?POLEPOLE JIFUNZE KUNYAMAZA HAO SI VIJANA WENZAKO NI BABA ZAKO, CHEO KWENYE CHAMA KISIKUTIE KIBURI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Polepole ni kijana?POLEPOLE JIFUNZE KUNYAMAZA HAO SI VIJANA WENZAKO NI BABA ZAKO, CHEO KWENYE CHAMA KISIKUTIE KIBURI.
Hahahaaaa........ pale Songea wengi siyo watanzania angalia hata majina yao tu!Muda utaongea si ndio mmeanza sasa kumsulubu.... Tusishangae mkaanza kuhoji na uraia wake
Polepole na Bashe wamesoma darasa moja pale Benjamin Mkapa high school pamoja na yule Jerry Slaa!
Mbona hana ndevu, kwani yeye ni dagaa maana dagaa mdogo na mzee wote wanafanana hawana ndevu.
Ccm ni taasisi mkuu si kama chadema kwamba akitoka mbowe chama kina kufa .Asante kwa mchango Kada mzoefu, naona sasa Bashiru, Kitila, Polepole na Msando ndio ma alwatani ya chama.
Ungeweka kausahahidi tu ili tumkabe jamaaMbona habari ya makontena 700 ipo siku nyingi! Au kwakuwa kasema Polepole?
Hapana acha awatukane tena aongeze matusi kwa kadri iwezekanavyo ili hao wazee wajute kwa waliyotufanyia 2015.POLEPOLE JIFUNZE KUNYAMAZA HAO SI VIJANA WENZAKO NI BABA ZAKO, CHEO KWENYE CHAMA KISIKUTIE KIBURI.
Siku moja ikitokea (ipishie mbali) Bw. Makonda kuondolewa madarakani na pengine akaonekana na Kakesi kokote, pamoja na kumsema sema vibaya kote lakini OOOOOH watakuja mbio kumtetea na saa ingine atabatizwa kuwa kamanda. Tuhuma za Bw. Kinana juu ya makontena ni za enzi na enzi. Kwamba ni kwa nini haikusemwa mwanzo, bado haiwezi kuzuia kusemwa leo. Acha asemwe na ikiwezekana hatua stahiki dhidi yake zichukuliwe ili baadaye zitumike kama funzo kwa wanaoendelea madarakani.
Daah Kinana mwizi sana,kontena 700 bado meli yake ikakamatwa na meno ya tembo daah kutafuta mtu msafi CCM ni sawa na kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi.Hivi kweli Mzee Kinana awekwe kwny Kitimoto.na kina Pole pole kujibu Maswali yaliyotengenezwa na Albert Msando yule wa Gigy Money?
Hata kama ni kumtukana Kinana tutafute matusi ya hadhi yake!
Mzee Makamba ni boshen, anaetafutwa ni Jongwe Comrade Abdul rahman Omar Kinana Alhabshy!
Kazi kubwa inayowakabili kina Pole pole ni kulinda Mapinduzi ya 1964 kwny Uchaguzi huu lakin wao kwa ugen wao wa Siasa wanadhan kazi kubwa ni kumsambaratisha Mzee Kinana ambae kwa hiyari yake aliamua kuacha Ukatibu Mkuu!
Unaenda kucheza Mechi ya Fainali lakin uko busy kutuhumu na kudhalilisha Bench lako la ufundi na Kamati ya Ushindi
CCM imevamiwa na Nzige wanaohatarisha Uhai wa Chama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole amenukuliwa akiwatupia vijembe vinavyoonekana kuwalenga Makatibu Wakuu Wastaafu wa ccm baada ya kukacha mahojiano juzi huko Dodoma.
"Wakati Rais anamuagiza Waziri Mkuu kwenda kukagua makontena bandarini yupo kiongozi mkubwa wa Chama sasa ni mstaafu alikuwa ana makontena 700 Bandarini na hayajalipa Kodi, alivyoambiwa alipe kodi sasa ana korosho hivi moyoni kanuna vibaya mno" Polepole
“Ukizingua kwenye chama chetu hakuna mkubwa wala mdogo wote mnaitwa, ukikimbia huna tofauti na wapinzani tu, na watu wa hovyo kwenye chama chetu waondoke tu'' Polepole.
View attachment 1352950
Chanzo: Dar Mpya
==============
NB: Kama Kiongozi alikuwa ana Makontena 700 na hakutaka kuyalipia kodi ilikuwaje haikutangazwa wakati ule, anakuja kutangazwa saizi baada ya kugoma kuhojiwa?
Je, huko CCM kuna wanachama wangapi wanamadudu lakini sababu ni watiifu hamuwatangazi mnasubiri wakikosee chama ndio muwatangaze?
Kwa uzoefu wa Utawala huu je, tutarajie hawa wastaafu kupewa kesi za uhujumu Uchumi kwa kuonekana kukiabisha chama?
Kama hawezi kutukanwa ana OPTION gani nyingine?Hahahaaaa...........Wasiwasi wangu ni je huyo Kinana ana uvumilivu wa " kutukanwa" kama Lowassa?
Mzaramo kapewa usemaji wa chama ndio matokeo yake hayo.Utovu wa adabu ni kitu kibaya sana, na asiye funzwa na baba yake dunia itamtia adabu.
Asisahau tu kwamba hata wao waliwahi kuwa na meno kama yeye
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowasa anawacheki tu kwa mbaliKama hawezi kutukanwa ana OPTION gani nyingine?
Nakumbuka Makamba Snr. alivyomtukana Lowassa pale Moro kwny kampeni za 2015 huku Kinana akiwa pembeni akicheka cheka nakuja kuamini siasa ni udwanzi.
Leo Lowassa na Magu wako fresh huku Kinana&Makamba wanasubiri kutafunwa.
dodge