Humphrey Polepole ‘awashukia’ Kinana na Makamba

Humphrey Polepole ‘awashukia’ Kinana na Makamba

Aisee makontena 700 sio jambo dogo.

Ni vyema tukawa wazalendo na kulipa kodi.
 
Mbona hamkumpa uhjumu uchumi ingekuwaje angekuwa Mbowe?
 
Polepole kumbuka huna mchango hata wa 4% kulinganisha na hao wazee kamwe! na kamwe hutaweza kufikia japo aslimia 20% hata ukikaa miaka 100 hapo ccm! acha kubeza hawa wazee waliokijenga chama! viatu vyao wewe na bashiru humuwezi kuvivaa milele!
 
Kwa hiyo ina maana kwenye awamu ileee, yalikuwa yanapita tu?
 
Polepole kumbuka huna mchango hata wa 4% kulinganisha na hao wazee kamwe! na kamwe hutaweza kufikia japo aslimia 20% hata ukikaa miaka 100 hapo ccm! acha kubeza hawa wazee waliokijenga chama! viatu vyao wewe na bashiru humuwezi kuvivaa milele!
Hivi wakati wa kuzunguka mikoa yote....per diem ilikuwa shilingi ngapi vile!?
 
Huyo nae hajielewi mbona kabla hawajagoma kwenda huko kuhojiwa hakusema hbr hii ya contena baada ya kuzinguana ndio anajiropokea hii inadhihirisha huko watu wameoza kwa ufisadi lkn kwakuwa wapo huko haina nongwa.


CCM masherani tu.
 
Haka ka chakubanga bhana....

Kalikuwa kanamwita Lowassa fisadi alipokuwa upinzani. Tena hakakuishia hapo bali alimwita mgonjwa anayejinyea.... alivyorudi CCM hatukasikii tena kakibweka...

Yaani mtu anaonekana mchafu akitoka CCM...
Huu upumbavu nilitegemea chadema wasiufanye. Ila walimtukana lowassa baadae wakamsafisha, sasa amerudi ccm wapo kimya. In short hamna chama kwa sas Tz mtu unaweza kukiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mambo mawili, hususan body language sitayasahau kuhusiana na urais wa awamu ya tano. 1. Lile swali la Paschal Mayala kuhusu mamlaka ya kikatiba na kisheria yanatumiwa na rais kutoa marufuku mbalimbali 2. Kauli ya rais kuhusu Makontena ya Makonda. Body language ilikuwa tofauti kabisa.
 
Polepole amenukuliwa akiwatupia vijembe vinavyoonekana kuwalenga Makatibu Wakuu Wastaafu wa ccm baada ya kukacha mahojiano juzi huko Dodoma.

"Wakati Rais anamuagiza Waziri Mkuu kwenda kukagua makontena bandarini yupo kiongozi mkubwa wa Chama sasa ni mstaafu alikuwa ana makontena 700 Bandarini na hayajalipa Kodi, alivyoambiwa alipe kodi sasa ana korosho hivi moyoni kanuna vibaya mno" Polepole

“Ukizingua kwenye chama chetu hakuna mkubwa wala mdogo wote mnaitwa, ukikimbia huna tofauti na wapinzani tu, na watu wa hovyo kwenye chama chetu waondoke tu'' Polepole.

View attachment 1352950

Chanzo: Dar Mpya

==============
NB: Kama Kiongozi alikuwa ana Makontena 700 na hakutaka kuyalipia kodi ilikuwaje haikutangazwa wakati ule, anakuja kutangazwa saizi baada ya kugoma kuhojiwa?

Je, huko CCM kuna wanachama wangapi wanamadudu lakini sababu ni watiifu hamuwatangazi mnasubiri wakikosee chama ndio muwatangaze?

Kwa uzoefu wa Utawala huu je, tutarajie hawa wastaafu kupewa kesi za uhujumu Uchumi kwa kuonekana kukiabisha chama?

Rasmi, kwa kijembe hiki makatibu wastaafu wa ccm siyo tena. Kama kawaida ni watu wa kudhalilishwa na kukumbushwa dhambi zao zote walizofanya siku za nyuma! Sijui ni nani hajafanya dhambi. Wenye ccm yenu mnayo kazi kubwa.
 
Huu upumbavu nilitegemea chadema wasiufanye. Ila walimtukana lowassa baadae wakamsafisha, sasa amerudi ccm wapo kimya. In short hamna chama kwa sas Tz mtu unaweza kukiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho Mbowe na Zitto wakihamia CCM wataitwa wakombozi na watetea wanyonge. Kesho kutwa Polepole akihamia upinzani huku watamwita mshamba zero brain na kule watamwita shujaa asiyependa kuburuzwa...

Wanasiasa ni wanafiki wakubwa. Bila kujalisha wa chama tawala au upinzani. Wanachofurahi uzandiki wao huu unaungwa mkono na wanachama na wafuasi wao walioamua kuwa bendera fuata upepo
 
Polepole amenukuliwa akiwatupia vijembe vinavyoonekana kuwalenga Makatibu Wakuu Wastaafu wa ccm baada ya kukacha mahojiano juzi huko Dodoma.

"Wakati Rais anamuagiza Waziri Mkuu kwenda kukagua makontena bandarini yupo kiongozi mkubwa wa Chama sasa ni mstaafu alikuwa ana makontena 700 Bandarini na hayajalipa Kodi, alivyoambiwa alipe kodi sasa ana korosho hivi moyoni kanuna vibaya mno" Polepole

“Ukizingua kwenye chama chetu hakuna mkubwa wala mdogo wote mnaitwa, ukikimbia huna tofauti na wapinzani tu, na watu wa hovyo kwenye chama chetu waondoke tu'' Polepole.

View attachment 1352950

Chanzo: Dar Mpya

==============
NB: Kama Kiongozi alikuwa ana Makontena 700 na hakutaka kuyalipia kodi ilikuwaje haikutangazwa wakati ule, anakuja kutangazwa saizi baada ya kugoma kuhojiwa?

Je, huko CCM kuna wanachama wangapi wanamadudu lakini sababu ni watiifu hamuwatangazi mnasubiri wakikosee chama ndio muwatangaze?

Kwa uzoefu wa Utawala huu je, tutarajie hawa wastaafu kupewa kesi za uhujumu Uchumi kwa kuonekana kukiabisha chama?

Bashite alikuwa na kontena ngapi? Kinana si alikuwa na kampuni ya clearing and fowarding anamilikije kontena 700 huyu mjinga kuna mahali atakuwa anajichanganya. Biashara kwani dhambi ndani ya CCM?

Hivi nchi hii kuna fisadi yuko nje CCM kweli?????? Manake kila siku wanajituhumu wao kwa wao, Yule waziri mkata viuono si alikuwa na ilani kila anapoenda.
 
Kwahiyo wewe baba yako ni mwenzako na mama yako ni shosti wako!
Umevuka mipaka ya mijadala ya kistaarabu.
That was below the belt and way too far out of context.

Unajua mimi pia naweza kutukana wazazi wako kama ulivyotukana wazazi wangu?
Jiulize tutapata faida gani baada ya kutukana wazazi wetu? Siasa zisitufanye kuwa watu wa ajabu kama tulikosa malezi bora au vichaa.
Mimi nina akili timamu na nipo imara sana kihisia, huenda na busara pia, kwa hivyo kukuthibitishia hilo sitakujibu matusi upate kujitafakari matendo na kauli zako.

Wewe kama unahisi ukinitusi mimi na wazazi wangu ambao mwingine ametangulia safari ya mwisho utapata furaha na hoja yako itaeleweka basi endelea kunitukania hadi babu zangu uridhike na ueleweke vizuri.
Ukimaliza tutafanya mjadala wa hoja sio matusi.
 
Back
Top Bottom