Humphrey Polepole apuuziwe na taarifa za uongo

Humphrey Polepole apuuziwe na taarifa za uongo

Joined
Aug 25, 2025
Posts
30
Reaction score
6
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA.

🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1. Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.

Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).

2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.

Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).

Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.

Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.

🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
 

Attachments

  • CF1A295D-A6D2-4DC4-BB1F-79F9C7CA15E0.jpeg
    CF1A295D-A6D2-4DC4-BB1F-79F9C7CA15E0.jpeg
    87.3 KB · Views: 16
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Sababu jana alisema na yeye ni member wa JF basi ukajua humu atasoma ushundundu wako. Skia mdogo wangu tulipofkia saiz haihitaji nguvu kubwa sana kumjibu HP.

Ww ni nan? Anaetakiwa kujibu hoja za HP kwa sasa HAYUPO. Alijaribu Rostam wiki 3 zilizopita na vip alijibuje? Ndo kwanza kaenda kuharibu zaidi. Kumjibu HP inataka utulie na uandike moja baada ya jingine kwenye hoja zake.


Haha ndugu CHAWA. Umesema amani. Kwaiyo hapo umejibu hoja moja kati ya 17. Tunasubiri hizo 16 utujibu hapa. Unless otherwise hii account uliyofungua leo kwa mihemuko utaikimbia na kusahau nywila ya kurudi hapa tena.
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Yaani wewe mchimba mihongo porini huko ndio unapingana na mtu aliye wahi kuwa mwenezi wa chama taifa na balozi wa tanzania cuba
 
Jamaniii mi mtu akizungumzia amani huwa ana nitibua zivuuu hivi ni amani au utulivu 😩😩😩
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Kwa hali ilivyo ukisema polepole apuuzwe utajikuta unapuuzwa wewe!
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Machawa na walamba nyayo za viongoz ndio mtapuuza alichosema pole2 aka mzee wa flyover!! Pamoja na changamoto zake lkn Pole2 ana hoja za msingi!!! NB: Acheni kuleta bosheni za amani, Tanzania ina utulivu tu! Hakuna amani bila haki!!!
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Tumeamua kukupuuza wewe na maujinga ujinga yako
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Hpp azingatiwe na taarifa zake dhidi ya wahuni ndani ya taifa hili.
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Wewe fala hata mjumbe wa nyumba kumi hakujui alafu unataka kushindana na balozi ...wewe na UJINGA wako unafikiri kila MTU anafanana na ww
 
We fala tu polepole mtu mkubwa huwezi kushindana nae Uzi mzima unahubiri amani halafu hutaji haki fukara wewe
 
UKWELI KUHUSU KUSIFIWA KUWA TANZANIA NI MOJA YA NCHI YA AMANI NI HUU HAPA .
🇹🇿 Tanzania ni Nchi ya Amani – Ukweli na Takwimu.
Kumekuwa na maneno ya kupotosha kwamba sifa za amani za Tanzania “ni maslahi ya mataifa ya nje.” Ukweli ni huu hapa:

1.Global Peace Index 2025
Tanzania imeshika nafasi ya 73 duniani kati ya nchi 163.
Ndio nchi ya kwanza kwa amani Afrika Mashariki.
Viwango hivi hutolewa na taasisi huru za kimataifa kwa vigezo 23 (usalama wa wananchi, migogoro, na nguvu za kijeshi).
2. Usalama wa Watalii.
Mwaka 2025, Tanzania iliorodheshwa kama miongoni mwa nchi 8 salama zaidi barani Afrika.
Hii imeimarisha sekta ya utalii na uwekezaji.
Uongozi wa Kikanda (SADC)

Julai 2025, Tanzania iliandaa Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa Siasa, Ulinzi na Usalama wa SADC jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan alichaguliwa Mwenyekiti wa Asasi ya SADC ya Siasa, Ulinzi na Usalama mwaka 2024.
Tanzania imetekeleza zaidi ya 70% ya maamuzi ya SADC, ikionyesha dhamira ya kweli ya kuimarisha amani na mshikamano wa kikanda.

Historia ya Tanzania kama Nchi ya Amani
Tanzania imekuwa msingi wa mazungumzo ya amani:
Arusha Accords (Rwanda 1993, Burundi 2000).
Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yapo Arusha – ishara ya kuaminiwa kwa utulivu wake.
Imepokea na kulea wakimbizi kutoka nchi jirani kwa miongo mingi.

Hitimisho
Tanzania haijapewa sifa ya amani kwa “maslahi ya mataifa ya nje,” bali kwa matendo, historia, na data halisi.
🇹🇿 Ni kweli kabisa kwamba Tanzania ni ngome ya amani Afrika Mashariki na mfano wa kuigwa barani Afrika.

Ndugu zangu watanzania tusikubali kudanganyika na kuharibu amani kwa Watu Wachache wenye uchu na madaraka

#Haijapatakutokea
#KurayakwanzaKwaSamia
#samia_suluhu_hassan
#ikulu_mawasiliano
#ccmtanzania
Wanao tekwa na kupotezwa ni ndugu na jamaa zetu tena watekaji wameenda mbali zaidi wanafira

Silence surrenders public responsibilities

Kunyamaza siyo amani bali ni kusalimu amri kwa majukumu ya kijamii ama kitaifa

For how long should the society keep silent

Je ni Kwa muda gani jamii iendelee kunyamaza

Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe jamii ambayo wengi wao hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi
 
Back
Top Bottom