PIUS PASTORY
Member
- Aug 22, 2025
- 36
- 18
Uchunguzi gani Kuna usichoelewaTupuuze au tufanyie uchunguzi kama ni za kweli. Hv akili unayo kweli?
Uchunguzi gani Kuna usichoelewaTupuuze au tufanyie uchunguzi kama ni za kweli. Hv akili unayo kweli?
Wewe Ndio kijana wa ovyo unayeshabikia vurugu kwenye nchi yakonchi ingekuwa na watu vilaza kama wewe kipindi cha ukoloni isingeweza kupata uhuru
Afadhali umesemaBinafsi natamani sana kumpuuza Polepole, lakini mbona hamji na hoja za maana zinazoweza kutusaidia kumpuuza?
Yupo uhamishoni kwa sababu anaongea vitu visivyo na ushahidi na hajiamini Ndio maanaUnasema tumpuuze Polepole halafu sababu zenye mashiko huna wewe kidampa wa bi Mwenda?
Mwisho unamalizia na hashtag za kumpamba bi Mwenda mimi nikuulize anashindana na nani kwenye huo mnaouita uchaguzi?
Unasema kuna amani halafu muda huo huo Polepole anamwaga mtama akiwa uhamishoni amani ingekuwepo ingetakiwa aliyoyasema hadi sasa kuna watu wangekuwa kwenye uchunguzi na hatua inayofuata ingekuwa kuleta mashahidi.
Naunga mkonoMnajificha kwenye kivuli cha amani huku mmejaa upigaji ambao unanunulika kwa buku saba wkt wanaokulipa hizo buku saba wamemiliki keki yote ya taifa.
Anjela na wanamtandao awapo ?Yupo uhamishoni kwa sababu anaongea vitu visivyo na ushahidi na hajiamini Ndio maana
Hebu jibu hili swali kwanza ndio niendelee kujadiliana na wewe.Yupo uhamishoni kwa sababu anaongea vitu visivyo na ushahidi na hajiamini Ndio maana