Tanzania hatuna ukanda wala ukabila, sasa yeye ni miongoni mwa wanaofaa kuhoji uraia wake. Tuhakikishe kama alizonazo ni tabia za kitanzaniaHuyo ni sukuma gang.
Sukuma gang wanasimamia msimamo wa mwendazake
Tanzania hatuna ukanda wala ukabila, sasa yeye ni miongoni mwa wanaofaa kuhoji uraia wake. Tuhakikishe kama alizonazo ni tabia za kitanzaniaHuyo ni sukuma gang.
Sukuma gang wanasimamia msimamo wa mwendazake
Sahihi kabisaNafikiri wakimaliza kutupanga machinga, waanze shughuli ya kupanga wanachama kama polepole
Dawa yake ni kumwambia ahesabu moja mpaka tano tutamjua tu uraia wakeTanzania hatuna ukanda wala ukabila, sasa yeye ni miongoni mwa wanaofaa kuhoji uraia wake. Tuhakikishe kama alizonazo ni tabia za kitanzania
Nchi hii ina watu wengi mafala sana, kila kitu siasa za hovyo.Swali la msingi kukaa pembeni ya barabara na kufanya biashara ni kosa au sio kosa?
Watu wenye nyumba pembezoni mwa barabara wamevunjiwa nyumba, kuna wananchi wamechomewa nyumba kwa kuvamia maeneo ya hifadhi.
Kuna wananchi mifugo yao imekamatwa na wamepigwa faini kwa kuchunga kwenye maeneo yasio sahihi.
Hawa hawakuwa na familia? Walipangiwa pa kwenda? Mliwatetea?
Why wamachinga wapewe haki ya kuvunja sheria?
Kwahiyo Kimara tumebomoa nyumba za watu kupisha wamachinga?
Kulikuwa na umuhimu gani kuvunja jengo la Tanesco kama leo hifadhi ya barabara ni eneo la biashara.
Tufuate utaratibu, hatuwezi kuwa watu wa holela holela tu.
Huyu mgonjwa wa VVU kadri annavyosahau kunywa mashudu ndiyo anavyoharibikiwa kichwani.
My take
1. Namuunga mkono kuhusu uhuni waliofanywa wamachinga, maana walipewa siku 12 za Ziada, kabla hazijaisha maeneo yao yakavamiwa usiku na kuvunjwa
2. Simuungi mkono kuhusu kumtetea Samia katika hili, Samia anahusika, kama angekuwa hahusiki viongozi wanaotekeleza hili zoezi wasingekuwa bold kufanya udhalimu huu, na angeusitisha
Leo shaka na CCM nao wamelaani.Tena wewe pole pole ndo mlisababisha uvunjifu wa hii sheria ya road reserve kwa kuimba haya mapambio enzi za mwenda zake cheap popularity acha ujinga. Mnavuruga nchi kwa kigezo cha kupendwa mnageuza nchi kama dampo
Mkuu Leo shaka na CCM wameungana na polepole kulaani namna wamachinga wanavyoondolewa. Hapo vipi?Si kuwahi kufikiria kwamba Humphrey Polepole ni "mweupe" na mwepesi kisiasa na kiongozi kiss hiki?
Hivi wewe Polepole unajua kutafsiri dhamira ya Mhe.Rais Samia kuliko wateule wake aliowaamini na kuwapa kazi?!
Ni siasa tuMkuu Leo shaka na CCM wameungana na polepole kulaani namna wamachinga wanavyoondolewa. Hapo vipi?
Hako kajamaa kana mdomo kama njia ya haja kubwa.
Naunga mkono hoja hiiSwali la msingi kukaa pembeni ya barabara na kufanya biashara ni kosa au sio kosa?
Watu wenye nyumba pembezoni mwa barabara wamevunjiwa nyumba, kuna wananchi wamechomewa nyumba kwa kuvamia maeneo ya hifadhi.
Kuna wananchi mifugo yao imekamatwa na wamepigwa faini kwa kuchunga kwenye maeneo yasio sahihi.
Hawa hawakuwa na familia? Walipangiwa pa kwenda? Mliwatetea?
Why wamachinga wapewe haki ya kuvunja sheria?
Kwahiyo Kimara tumebomoa nyumba za watu kupisha wamachinga?
Kulikuwa na umuhimu gani kuvunja jengo la Tanesco kama leo hifadhi ya barabara ni eneo la biashara.
Tufuate utaratibu, hatuwezi kuwa watu wa holela holela tu.
Swali la msingi kukaa pembeni ya barabara na kufanya biashara ni kosa au sio kosa?
Watu wenye nyumba pembezoni mwa barabara wamevunjiwa nyumba, kuna wananchi wamechomewa nyumba kwa kuvamia maeneo ya hifadhi.
Kuna wananchi mifugo yao imekamatwa na wamepigwa faini kwa kuchunga kwenye maeneo yasio sahihi.
Hawa hawakuwa na familia? Walipangiwa pa kwenda? Mliwatetea?
Why wamachinga wapewe haki ya kuvunja sheria?
Kwahiyo Kimara tumebomoa nyumba za watu kupisha wamachinga?
Kulikuwa na umuhimu gani kuvunja jengo la Tanesco kama leo hifadhi ya barabara ni eneo la biashara.
Tufuate utaratibu, hatuwezi kuwa watu wa holela holela tu.
Kwani hamf ni nani ktk nchi hii kwa sasa??
Eeh! Maana usipojipanga unapangwa maana mama ashasema wapangwe maana yake hawakujipanga panaporuhusiwa.Huyu inabidi naye apangwe mahali