kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Mie naamini Bw.Polepole na Falsafa yake ya kuwalazimisha madiwani na wabunge wa Upinzani KUJIUZULU na kujiunga na CCM na UCHAGUZI kufanyika upya Kwa kutumia Mabilioni ya FEDHA ambazo ni kodi za WANYONGE Wa nchi hii inasikitisha sana.
Bw.Polepole anazurura nchi nzima kushawishi wapinzani. Bw.Polepole kuna tija gani CCM inapata kwa kuwapata hao madiwani au Wabunge wakati unatuambia CCM ina wanachama milioni 12?
Bw.Polepole anazurura nchi nzima kushawishi wapinzani. Bw.Polepole kuna tija gani CCM inapata kwa kuwapata hao madiwani au Wabunge wakati unatuambia CCM ina wanachama milioni 12?