"HUMAN ZOOs" biashara ya fedheha kwa waafrika

Bila kumsahau Ota Benga
images.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana na mpaka leo kwenye nchi zao kuna ubaguzi wa kimya kimya unaendelea.
 
Ukweli mchungu hadi sasa wanatufanya watumwa nasi tunafurahia na kujiona mashujaa eti twasema ukweli ili jumui za kimataifa zitambue udhaifu wetu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom