maliza dozi kabla hujarudishwa hospital bro.
unatoa tafsiri ya maneno ya mchizi?
Tuliumbwa na Anunnaki, Lyrans na Igiggi na Anunnaki wamekuwa na sisi chini ya ufuatiliaji wa kila siku kwa miaka takribani 500,000 kutoka kwa nchi yao ya Ashtari (pia inajulikana - kwa uongo - kama Nibiru) kupitia kifaa kinacho julikana kama Miraya.
Greys, Zeta Reticulan wamekuwa wakiishi chini ya ardhi na chini ya maji duniani kwa mamilioni ya miaka na sio wapo kwa ufuatiliaji, lakini pia wamekamilisha mpango wa uchanganuzi wa human homo na Greys ambao ni tatizo kubwa kwa human homo (na sababu kuu ya kurudi kwa Anunnaki miaka ya karibuni,sababu kuu ni kutaka kuondoa ulimwengu wa Grays mara moja na kwa wote.)
Aina nyingi za wageni hutumia moja au zaidi ya viungo vya 70 vinavyotambulika kwa dunia ambavyo hujulikana kama ba'abs kusafiri hadi pointi mbali mbali na ulimwengu huu,mfano halisi wageni sumbufuba aina ya greys...
Wakati wa safari hizi zinazohusiana na usafiri, wa vyombo tofauti,kama wanyama,wadudu n.k. inawezekana kwamba "hututazama kwa kila matendo pasipo sisi kugundua,human homo ni aina ya chini zaidi ya utashi kulinganisha wageni aina ya greys katika ulimwengu huu, kwa hiyo hatuna kitu chochote cha kuzuia aina yoyote ya mgeni anayeweza kusafiri kati ya stellar / inter-dimensional.
Na bila shaka kuna "viumbe vingi" katika vipimo vya 4, 5, 6 na nk nk (yaani, kile tunachokiita kama "mbinguni") ambao wana uwezo wa kutuangalia wakati wowote wanataka tuweje n.k lakini wanahusika sana na human homo ( na aina nyingine za maisha ya akili)......
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale ambao hamjamuelewa jamaa ni kwamba: Binadamu tumeumbwa na viumbe wanaoitwa Anunnaki ambao ndio wanatucontrol mpaka sasa.
Nimejaribu kusoma sijaelewa.
Hivi hizi habari huwa mnazipata wapi ? Na mnahakikishake kuhusu ukweli wa habari hizi ?
Wewe Mungu wako kaumbwa na Nani....?Sasa hao anunnaki wamumbwa na nani ?
Nitajie vitabu ulivyosoma hizi habari.Hizi habari tunapata kwenye vitabu
Na ushahidi unaofanana na ule mnaotumia kuamini kuwa Mungu wenu Yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta kabisa, nisingeona commenti ya namna hii hadi mwisho wa page mbona ningeweka mwenyewe
Kwani lazima habari hizi ziwe zimeandikwa kwenye vitabu kwanini usifikirie nje ya hapo?Nitajie vitabu ulivyosoma hizi habari.
Usilinganishe elimu na wasi wasi.
Nasubiri jina la vitabu,mwaka na waandishi wa hivyo vitabu.
Nipo ....
Ikiwa kama nao annunak hawana sifa ya kuumbwa utasemaje?Mola wangu hana sifa ya kuumbwa,yeye ndio ameumba.
Sasa nataka uongee au kuandika kielimu,hizo habari za Anunak zimeanza kusikika lini na ni nani wa mwanzo kuwaelezea hao Anunak ? Je wamejielezea wemyewe au wameelezewa na wasio kuwa wao ?
Nipo ....
Kwani lazima habari hizi ziwe zimeandikwa kwenye vitabu kwanini usifikirie nje ya hapo?
Sent using unknown device
Hakuna kufikiria nje ya hapo katika hili. Hizi ni habari za kale,huwezi kusema umesimuliwa kwa mtiririko mpaka kukufikia wewe bila kuwekwa kwenye maandishi.
Namsubiri nilie muuliza hili swali,huenda ameelewa swali na kulitafakari.
Nipo ....
Kuna kitu ambacho sio kiumbe?Haiwezekani wakawa wameepukana na sifa ya kutokuumbwa sababu wao ni viumbe.
Elimu ilishaandikwa,hapa nasubiri habari zao kwa mtoa mada au mwenye kuwajua.
Nipo ....
Kwani hayo maandishi ukiletewa utatumia vipimo gani kuyagundua kama ni kweli?
Sent using unknown device
Viko vingi sana ambavyo sio viumbe.
Mbona hivyo vyote ni viumbeViko vingi sana ambavyo sio viumbe.
Gari,kiatu,mpira,nguo,taa,mkasi na vinginevyo.
Nipo ....
Mbona hivyo vyote ni viumbe
Sikia kuna makundi mawili ya viumbe
1. Viumbe hai
2. Viumbe visivyo hai
Sasa hayo magari na vinginevyo ulivyovitaja vinaingia hapo kwenye kundi namba mbili
Sasa je mungu wako yuko kundi lipi kati ya hayo mawili?
Sent using unknown device
Hakuna kufikiria nje ya hapo katika hili. Hizi ni habari za kale,huwezi kusema umesimuliwa kwa mtiririko mpaka kukufikia wewe bila kuwekwa kwenye maandishi.
Namsubiri nilie muuliza hili swali,huenda ameelewa swali na kulitafakari.
Nipo ....