Kuna mtu ameanzisha thread https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mbunge-lema-imeibua-mahakama-za-mitaani.html, sasa kila mtu amekuwa mtabiri. Hata Sumbawanga walitabiri hukumu yake mambo yakawa ndivyo sivyo, wakaja tena na utabiri wa Biharamulo mambo yakawa ndivyo sivyo na Ubungo itapita sijui mtabaki na jimbo gani la kutabiri. Kweli hukumu ya Lema imeibua watabiri wengi wa mitaani.
la MEATU BADO CJASIKIA UTABIRI,KESHO HUKUMU